DC KONGWA: MAHINDI NA KARANGA MWOKOZI KWA WATOTO WADOGO KONGWA

  MKUU wa Wilaya ya Kongwa Mayeka Simon,akizungumza  wakati wa hafla ya kufungua kikao cha mrejesho wa matokeo ya utafiti na mafunzo ya kupunguza sumukuvu katika mazao baada ya kuvuna kilichofanyika wilayani humo. MAKAMU  Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela,Arusha Prof.Maulilio Kipanyula,akizungumza  wakati wa hafla ya kufungua kikao cha…

Read More

Safari  kuhamia Dodoma kukamilika mwakani

Dodoma. Safari ya Serikali kuhamia jijini hapa  itakamilika  baada ya mpango kazi maalumu na ujenzi wa awamu ya pili wa majengo ya ofisi za wizara na taasisi utakapohitimishwa mwaka 2025. Aidha, Serikali imesema hadi sasa watumishi wa umma 25,039 wameshahamia huku taasisi zilizohamia zikiwa ni 65.Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu Bunge,…

Read More

AMREF TANZANIA YATAMBULISHA MRADI WA AFYA THABITI KUPITIA MKUTANO NA OFISI YA TAMISEMI IDARA YA AFYA, USTAWI WA JAMII NA LISHE

Mkurugenzi wa Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt. Rashid Mfaume, akifungua mkutano wakati wa Utambulisho wa Mradi wa Huduma na Matibabu ya VVU (Afya Thabiti) unaofadhiliwa na PEPFAR kupitia CDC Tanzania na kutekelezwa na Amref Tanzania kwa kushirikiana na CIHEB Tanzania, TCDC Tanzania, na Afya plus timu za afya za mikoa…

Read More

DARAJA LA RUHEMBE LAWAFUTA MACHOZI WANANCHI WA MIKUMI

Kwa muda mrefu wananchi wa Kata za Ruhembe, Kidodi, Uwembe, Vidunda, Mikumi na Kilolo wameteseka kwa kusafiri umbali mrefu au kuzunguka kwenye mapori ya miwa kufikia huduma za kijamii. Hali hiyo ilitokana na kukosekana kwa kiunganishi madhuhuti cha miundombu ya barabara katika kata hizo. Akizungumza wakati wa ziara ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais…

Read More

Rais wa Kenya ziarani siku 4 nchini Marekani

Rais wa Kenya William Ruto na Mke wa Rais Rachel Ruto waliwasili Atlanta, Georgia, Marekani siku ya Jumatatu (Mei. 20) kabla ya ziara ya kiserikali mjini Washington. Ziara ya Atlanta ni sehemu ya kwanza ya ushirikiano wa kidiplomasia wa Kenya na Marekani. Rais Ruto alitoa hotuba kuhusu utawala na maadili ya kidemokrasia katika Maktaba ya…

Read More

NMB yapata idhini kuwa wakala wa madalali wa DSE

Benki ya NMB imepata idhini kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na Mamlaka ya Soko la Mitaji na Dhamana (CSMA) kuwa wakala wa madalali wa Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE). Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Kupitia idhini hiyo wananchi sasa wataweza kuuza na kununua hisa na hatifungani kupitia mtandao mpana wa matawi 231 wa…

Read More

HISIA ZANGU: Inonga, Simba, siri ya mtungi aijuaye kata

HAUWEZI kuona sana kwa macho, lakini Henock Inonga Baka anavuruga vichwa vya watu wa Simba. Kuna simulizi nyingi nyuma ya pazia, lakini ukweli ni kwamba Inonga anawakoroga Simba ingawa Simba wenyewe wamesimama imara. Baada ya kichapo cha mabao 5-1 kutoka kwa mtani katika pambano la raundi ya kwanza Uwanja wa Mkapa kuna baadhi ya wachezaji…

Read More