TBS YASHIRIKI MAONESHO YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA DODOMA

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeshiriki katika maonesho ya wizara ya viwanda na Biashara katika viwanja vya Bunge yanayoendelea jijini Dodoma. Wakiongea na maafisa wa TBS baadhi ya waheshimiwa wabunge waliotembelea banda la TBS wameipongeza TBS kwa kazi nzuri wanayofanya ya kuhakikisha usalama na ubora wa bidhaa unazingatiwa ili kumlinda mlaji wa mwisho. Mkurugenzi Mkuu…

Read More

Tanzanite! Viwanja vitatu kupewa fainali FA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) liko mbioni kubatilisha uamuzi wa fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kuchezwa katika Uwanja wa Tanzanite uliopo Babati, Manyara mapema mwezi ujao huku viwanja vitatu vikitajwa kupewa nafasi kubwa kuchukua fursa hiyo. Viwanja vitatu vinavyopewa nafasi kubwa kuchukua fursa ambayo Uwanja wa Tanzanite, Babati inaelekea kuikosa ni Benjamin…

Read More

Dk Nchimbi awataka maofisa utumishi kuacha uonevu, uungu mtu

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Balozi Emmanuel Nchimbi, amewataka watumishi wanaosimamia utawala na rasilimali watu sehemu za kazi kuwatendea haki wafanyakazi wote kwa kujiepusha na vitendo vyovyote vya uonevu. Akizungumza kwenye maadhimisho ya siku ya wataalam wa rasilimali watu na utawala duniani, jana Jumatatu, Mei 20, 2024, ambayo kitaifa imefanyika…

Read More

Dakika za mwisho hekaheka kuzama meli ya MV Bukoba

Mwanza. Mei 21, 1996 ni siku ambayo dunia iliamshwa na habari mbaya na za kushtua za kuzama kwa meli ya MV Bukoba, ikiwa karibu kuingia ghuba ya Mwanza katika Ziwa Victoria, lakini je, unafahamu nini kilitokea muda mfupi kabla ya meli hiyo kuzama? Meli hiyo iliyokuwa ikiendeshwa na Kepteni Jumanne Mwiru ilikuwa ikitokea Bukoka kwenda…

Read More

Hatua za Serikali kuongeza matumizi ya Tehama nchini

Dar es Salaam. Serikali imesema ipo katika hatua ya kuainisha mahitaji, sifa na aina ya teknolojia zinazohitajika katika sekta mbalimbali na kuweka muda maalumu kwa ajili ya kupatikana. Hatua hiyo kwa mujibu wa Serikali, inalenga kuhakikisha sayansi na teknolojia inapewa kipaumbele katika maendeleo ya rasilimali watu na ubunifu. Katika utekelezaji wa hilo, vyombo vya habari…

Read More

SERIKALI YAWEKA WAZI MIKAKATI YA KUKUZA SEKTA YA UBUNIFU NCHINI

a Said Mwishehe, Michuzi TV SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema tayari imeweka mipango mkakati inayohakikisha kunapatikana rasilimali watu yenye ubunifu na itakayoendana na sayansi na teknolojia. Katika kufanikisha hilo imesema ipo kwa sasa wapo hatua ya kuainisha mahitaji, sifa na aina ya teknolojia zinazohitajika katika sekta mbalimbali na kuweka muda maalum…

Read More