AIRTEL YAZINDUA KADI YA KIDIJITALI KWA MALIPO YA KIMATAIFA

::::::: Na Mwandishi Wetu, Kampuni ya mawasiliano ya Airtel Tanzania, kupitia huduma yake ya Airtel Money, imetangaza uzinduzi rasmi wa huduma ya kadi ya malipo ya kimataifa kwa njia ya kidijitali, ijulikanayo sasa kama Airtel Money Global Pay. Huduma hiyo mpya imezinduliwa kwa ushirikiano kati ya Airtel Money, Mastercard na kampuni ya teknolojia ya malipo…

Read More

Othman asisitiza amani, utulivu kwenye uchaguzi

Unguja. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman amewaomba Wazanzibari kuomba dua kwa ajili ya amani na utulivu wakati nchi inajiandaa kwa uchaguzi mkuu ujao. Othman ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT-Wazalendo, ametoa wito huo leo Jumatatu Machi 24, 2025  alipohitimisha ziara yake ya mikoa mitano ya Unguja…

Read More

PIGABET YAENDELEA KUVUNJA REKODI KWA WASHINDI WA WIKI YA 4

 Dar es Salaam,– Kampuni ya michezo ya kubahatisha ya Pigabet inaendelea kutimiza ndoto za wateja wake kupitia kampeni zake kubwa mbili: Shinda Ndinga na Pigabet pamoja na Jismartishe, inayofanyika kwa ushirikiano na Mixx by Yas.   Katika droo ya wiki hii ya Shinda Ndinga, Shafii Kayamba ameibuka mshindi na kujinyakulia simu mpya aina ya Samsung…

Read More

TRA Iringa yawashukuru walipa kodi wake

Mamlaka ya Mapato Tanzania Tra Mkoa wa Iringa Imeendelea kudumisha mahusiano Mazuri na kuwashukuru wafanyabiashara wake Mkoani hapa kwa kuendelea kutimiza wajibu wake wa kulipa Kodi kwa wakati Hii ni mara baada ya Meneja wa Mamlaka ya mapato Tanzania Tra Mkoa wa Iringa Bw. Peter Jackson akiwa pia ameambatana na meneja msaidizi Bw. Gwamaka Pholld…

Read More

TBC WATATOA FURSA SAWA KWENYE UCHAGUZI-TCRA

Na Derek MURUSURI, Dodoma SHIRIKA la Utangazaji Tanzania litaendelea kutoa fursa sawa kutangaza kampeni za vyama vyote vitakavyoshiriki uchaguzi wa mwaka huu na mwaka 2025. “Katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, TBC ilifuata ratiba ya kampeni ya vyama vya siasa, na kwingine TBC walifika na vyama vyenyewe havikufika,” alisema Mhandisi Andrew Kisaka, Meneja wa Kitengo…

Read More

NMB Foundation, ZASCO kuwanoa wakulima wa mwani 1300 Z’bar

ASASI ya NMB Foundation kwa kushirikiana na kampuni ya Mwani Zanzibar (ZASCO) wamezindua mafunzo endelevu kwa wakulima 1,300 wa mwani Unguja na Pemba, ambapo Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeipongeza na kuitaja asasi hiyo kama mbia wa karibu, wa kimkakati na wa muda wote wa maendeleo Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Mafunzo…

Read More