Wafungwa, mahabusu kuandikishwa daftari la wapiga kura

Dodoma. Baada ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kutangaza kuandikisha wafungwa wa chini ya miezi sita katika daftari la kudumu la wapigakura, wadau wametaka marekebisho ya sheria ili kuruhusu wafungwa wote kupiga kura kwa sababu maisha yao yanaathiriwa na wanasiasa. Mei 11, 2024, wakati akizungumza Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Mkurugenzi wa Uchaguzi…

Read More

MWENGE WA UHURU WAWASILI MKOA WA KASKAZINI UNGUJA

Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Idrisa Kitwana Mustafa kushoto akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Rashid Hadidi Rashid ili kuukimbiza katika Mkoa wake na Kutembelea Miradi mbalimbali Zanzibar Ukiwa na Ujumbe “Tunza Mazingira na Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Ujenzi wa Taifa Endelevu” Na Sabiha Khamis Maelezo Kiongozi…

Read More

Balozi Kasike ateta na mjumbe wa FRELIMO

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Msumbiji, Phaustine Kasike leo Jumatatu amekutana na Mjumbe wa Kamisheni ya Siasa ya Chama cha FRELIMO, Alcinda António de Abreu na kukubaliana kuendelea kuimarisha uhusiano kwa maslahi ya nchi zote mbili. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kupitia mkutano huo uliofanyika kwenye Ofisi za Makao Makuu ya FRELIMO…

Read More

Dkt .Nchimbi aipongeza THRAPA kwa kuwakutanisha wafanyakazi

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Taifa Dkt. Emmanuel Nchimbi amemtaka Waziri wa nchi ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kumaliza changamoto wanazokutana nazo Watumishi ikiwemo kukutana na Jumuiya ya Maafisa wa Rasilimali watu na Utawala ili kuweka utaratibu mzuri utakaosaidia kupunguza Changamoto za watumishi nchini. Dkt. Nchimbi amezungumza…

Read More

Mafuriko Manyara yasababisha 600 kukosa makazi

Babati. Watu 600 wa kijiji cha Manyara, wilayani Babati mkoani Manyara, wamekosa mahali pakuishi baada ya makazi yao kukumbwa na mafuriko. Pamoja na kukosa makazi kwa kukumbwa na mafuriko watu hao pia mashamba yao yamesombwa na maji na kuharibu mazao yao. Mwenyekiti wa kijiji cha Manyara, Juma Jorojik ambacho kimepakana na ziwa Manyara, akizungumza Mei…

Read More