Rais Samia kushiriki maadhimisho Chama cha Majaji Wanawake

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuongoza maadhimisho ya miaka 25 ya Chama cha Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA). Maadhimisho hayo yatafanyika kwa siku tano kuanzia Januari 19 hadi 23, 2025 jijini Arusha. Mwenyekiti wa TAWJA, Jaji wa Mahakama ya Rufani, Barke Sehel amesema wamemuomba Rais kuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho hayo. Amesema siku…

Read More

Wafanyabiashara waliounguliwa soko Iringa waiangukia Serikali

‎Iringa. Wafanyabiashara wa Soko la Mashine Tatu katika Manispaa ya Iringa, ambao mali zao ziliungua usiku wa kuamkia Julai 12, 2025 wameiomba Serikali iwasaidie warejee kwenye shughuli zao za kiuchumi baada ya kupoteza kila kitu katika janga hilo. Mwananchi Digital ambayo leo imefika sokoni hapo iliwakuta wafanyabiashara hao wakichambua mabaki ya sehemu y mali zao…

Read More

Yanga noma, yatawala kila kona

YANGA imeendelea kufanya vizuri kila kona baada ya kikosi hicho cha Maveterani kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya timu ya Wasanii, katika mchezo wa utangulizi kwenye kilele cha wiki ya Mwananchi. Hizi zote ni shamra shamra za kuchangamsha siku ya Wananchi, huku mechi hiyo ikiwaacha mashabiki na vicheko maana licha ya ushindani mkubwa…

Read More

MKURUGENZI MKUU NIRC AWATAKA WAKANDARASI KUSAIDIA JAMII MAENEO YA MIRADI

 NA MWANDISHI WETU, Katavi. MKURUGENZI Mkuu Tume ya Taifa ya Umwagiliji (NIRC), Raymond Mndolwa, amewataka Wakandarasi wanaojenga miundombinu ya umwagiliaji kuhakikisha wanasaidia jamii hususani maeneo yenye miradi. Mndolwa amesema hayo katika ziara ya ukaguzi na ufuatiliaji wa ujenzi wa miradi ya umwagiliaji katika kata ya Mwamkulu wilayani Mpanda mkoani Katavi. Katika ziara hiyo  alikagua na…

Read More

Sababu za Wasira kuteuliwa CCM

Dar/Mikoani. Ukomavu katika siasa, misimamo katika ukweli, ushupavu wa uongozi na uchapakazi vinatajwa kuwa sababu ya Stephen Wasira kuteuliwa na kisha kuchaguliwa kuwa makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara. Wasira ametangazwa kushika wadhifa huo na Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan baada ya uchaguzi uliofanyika kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano…

Read More

Mwabukusi asimulia saa chache kabla Padri Kitima kushambuliwa

Dar es Salaam. Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi amesimulia kile ambacho walikuwa wakikifanya siku nzima na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima kabla ya kushambuliwa. Padri Kitima amelazwa hospitalini hapo baada ya kushambuliwa na kitu butu kichwani usiku wa jana Jumatano, Aprili 30, 2025. Shambulio…

Read More