Serikali kuwafagilia njia wawekezaji sekta ya mawasiliano

  SERIKALI imesema kuwa itaendelea kuweka mazingira mazuri kwa ajili ya wawekezaji ili kuongeza chachu katika maendeleo. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea).  Hayo yalibainishwa mwisho mwa wiki iliyopita tarehe 17 Mei 2024, na Waziri wa Habari, Teknolojia na Mawasiliano, Nape Mnauye wakati akishuhudia makubaliano ya Kampuni ya Towerco of Africa na British…

Read More

Paredi la Yanga kuanzia kwa Mkapa

KLABU ya Yanga leo imetoa ratiba ya sherehe zake za ubingwa wa Ligi Kuu Bara, Mei 25, mwaka huu zikiongozwa na paredi kutoka Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam hadi makau ya klabu hiyo, Jangwani. Awali Yanga iliwasilisha maombi kwa Bodi ya Ligi (TPLB) kuomba michezo miwili dhidi ya Tabora United na Tanzania Prisons kukabidhiwa…

Read More

Kutoka kilio hadi kicheko cha maji Uhambingeto

Iringa. Wakazi wa Kijiji cha Uhambingeto, Jimbo la Kilolo mkoani Iringa wamempokea Naibu Waziri wa Maji, Kundo Mathew kwa shangwe na nderemo baada ya kuanza kupata maji kijijini humo. Mwaka 2023, wananchi hao walimpokea aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo kwa kuangua vilio wakilalamika kukwama kwa mradi wa maji. Baadaye, Waziri wa Maji, Jumaa…

Read More

Banda aoa mke mwingine, mdogo wa Kiba ndo basi tena

BAADA ya maswali mengi juu ya ndoa ya beki wa klabu ya  Richards Bay inayoshiriki Ligi Kuu Afrika Kusini, Mtanzania Abdi Banda, mwenyewe kajitokeza na kufafanua ilivyokuwa. Staa huyu amethibitisha kuachana na mkewe wa kwanza, Zabibu Kiba ikiwa ni moja ya swali linaloulizwa na mashabiki wengi hususani mitandaoni, baada ya kuona picha za harusi yake…

Read More

Samatta abeba kombe Ugiriki – Mtanzania

Na Mwandishi Wetu Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars Mbwana Samatta ametwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Ugiriki akiwa na timu yake ya PAOK baada ya kuifunga Iris mabao 2-1 ugenini. Ikiwa ni msimu wake wa kwanza na timu hiyo aliyojiunga nayo akitokea Fenabahce ya Uturuki, amehusika katika mabao sita, akifunga mawili…

Read More

Watoto 18 kutoka mazingira magumu wajifunza Kichina

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikiingiza lugha ya Kichina kwenye mitaala ya masomo ili ifundishwe shuleni, tayari watoto wa Kitanzania wamefadhiliwa kusoma bure lugha hiyo. Watoto hao 18 wanaotoka katika mazingira magumu, wanafadhiliwa kujifunza lugha hiyo na Chama cha Mabuddha cha China kilichopo hapa nchini, ambapo wakimaliza itawawezesha kupata kazi ili wajikimu kimaisha. Hayo yamebainishwa…

Read More

Mtibwa pointi, Namungo nafasi, | Mwanaspoti

MECHI ya Mei 20, itakayopigwa Uwanja wa Namungo, Morogoro, itakuwa ya kusaka nafasi kwa Namungo kupanda nafasi za juu kwa  Mtibwa Sugar kuongeza pointi hata ikishinda itasalia nafasi ileile (mkiani). Namungo imecheza mechi 27, imeshinda  saba sare 10 na imefungwa  10, inamiliki mabao 22, imefungwa mabao 25 na imekusanya pointi 3, ipo nafasi ya nane, …

Read More