Mkutano wa nishati ulivyokwamisha hatima ya Dk Slaa mahabusu

Dar es Salaam. Mkutano wa wa nchi za Afrika kuhusu nishati unaofanyika nchini kwa siku mbili kuanzia leo Jumatatu, Januari 27-28, 2025, umekwamisha kutolewa uamuzi wa mashauri mawili yaliyofunguliwa na mwanasiasa maarufu nchini, Dk Wilbrod Slaa, kuhusiana na kesi ya jinai inayomkabili. Dk Slaa, aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),…

Read More

Mgaza atupia mbili Dodoma Jiji ikiibonda Coastal Union

MSHAMBULIAJI wa Dodoma Jiji, Yassin Mgaza, ameendeleza moto wa kucheka na nyavu katika mashindano ya Tanzanite Pre-Season International baada ya kufunga mabao mawili dhidi ya Coastal Union. Mgaza ambaye amefikisha mabao matatu na kuwa kinara wa ufungaji kwenye michuano hiyo, alianza kuziona nyavu za Coastal Union mapema tu dakika ya pili akiitumia vizuri pasi ya…

Read More

Tanzania Yaimarisha Mazingira ya Uwekezaji Kupitia Mageuzi ya Sheria na Vivutio Vipya

SERIKALI imeendelea kuchukua hatua thabiti katika kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji kwa kuanzisha sera mpya, kuleta mageuzi ya sheria, na kutoa vivutio vya kiuchumi vinavyowezesha ukuaji wa uwekezaji wa ndani na wa kimataifa. Akizungumza katika jongamano la wawekezaji la Tanzania na India liliofanyika jijini Dar es Salaam leo Julai 15, 2025, Naibu Waziri wa…

Read More

Amani ya Kudumu Kati ya Waisraeli na Wapalestina – Masuala ya Ulimwenguni

Ingawa kumbukumbu za siku za nyuma haziwezi kusahaulika wala kutupiliwa mbali, msisitizo leo unahitaji kuwekwa kithabiti katika kupatikana kwa amani ya kudumu kati ya Waisraeli na Wapalestina. Credit: UNRWA Maoni na Joseph Chamie, Sergio DellaPergola (portland, usa/jerusalem) Jumatatu, Januari 27, 2025 Inter Press Service PORTLAND, MAREKANI/JERUSALEM, Jan 27 (IPS) – Kufuatia makubaliano ya kusitisha mapigano…

Read More