Mapya mafuta yanayodaiwa kuwababua ngozi wakazi Yombo Dovya

Dar es Salaam. Shirika la Viwango Tanzania(TBS), limetoa ripoti ya mafuta yanayodaiwa kuwadhuru wakazi wa Yombo Dovya zaidi ya 200 na kueleza kuwa yalikuwa na kemikali. Tukio hilo liliripotiwa kwa mara ya mwanzoni mwa Januari, 2025 ambapo wananchi walisema walipata athari za kiafya baada ya kutumia chakula kilichoandaliwa kwa kutumia mafuta hayo, waliyodai wameyanunua kwa…

Read More

Majeraha yamtibulia Camara Simba | Mwanaspoti

KIPA namba moja wa Simba, Moussa Camara ‘Spider’ kwa mara ya kwanza anatarajiwa atacheza mechi ya Ligi Kuu Bara kesho wakati timu hiyo ikiwa wageni wa Coastal Union, kutokana na kuwa majeruhi kama ilivyo kwa beki wa kati, Fondoh Che Malone. Camara ametumika katika mechi 20 zilizopita za timu hiyo katika Ligi Kuu akiisaidia kushika…

Read More

Masache aomba kuunganishwa barabara Makongorosi-Tabora akiomba kura za Urais

Mbeya. Mgombea pekee ubunge Jimbo la Lupa, Wilaya ya Chunya Masache Kasaka ameomba mgombea Urais atakapoapishwa na kuunda Serikali, kuboresha miundombinu barabara kutoka Makongorosi ili kuunganisha shughuli za kiuchumi baina ya Mkoa wa Mbeya ya Tabora. Mbali na Ombi hilo pia Masache ameomba maeneo ya wachimbaji wadogo kufikishiwa nishati ya umeme kufuatia wananchi wake kujikita…

Read More

MABONDIA ZAIDI YA 10 WAPIMA AFYA KUELEKEA HOMA YA SGR

Zaidi ya mabondia 10 wamepima afya kuelekea pambano la ‘Homa Ya SGR’ itakayofanyika Oktoba 25 mwaka huu Mkoani Morogoro. Mabondia hao ni Paul Kamata, Osama Arabi, Hassan Ndonga, Debora Mwenda, Abuu Lubanja, Adam Peter, Haruna Ndaro, Abdallah Ponda, Hamza Mchanjo, Shazir Hija, Hamadi Furahisha na Ibada Jafari. Daktari wa Kamisheni ya Ngumi za kulipwa Tanzania…

Read More

Utata askari Polisi akidaiwa kumjeruhi mtuhumiwa kwa risasi

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi mkoani Manyara limeingia lawamani baada ya ofisa wa kituo cha Mirerani wilayani Simanjiro kudaiwa kumpiga risasi mtuhumiwa wakati akihojiwa. Mtuhumiwa anayetajwa kwa jina la Ronald Mbaga na wenzake wawili walikamatwa Machi 30, 2024 kwa tuhuma za kuiba bastola ya mfanyabiashara wa madini ambaye jina lake halijatajwa. Inadaiwa ofisa huyo…

Read More