Zaidi ya wanafunzi 200 wajengewa uwezo kwa vitendo

Jitihada Za Serikali ya awamu ya Sita ni kuhakikisha sekta ya elimu inaboreshwa na kutolewa kwa nadharia na Vitendo zaidi ili kuwarahisishia Wahitimu kuweza kujiajiri pindi wakimaliza masomo yao. Zaidi ya Wanafunzi 200 wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya kutokea Ndaki ya usanifu Majengo na Teknolojia ya Majenzi (coACT) wamefanya mafunzo ya Usanifu…

Read More

Tani 128 za dengu zakamatwa Hanang zikitoroshwa

Hanang. Tani 128 za dengu zilizokuwa zikisafirishwa kutokana wilayani Hanang mkoani Manyara kwenye Singida bila vibali vya stakabadhi ghalani zimekamatwa. Tukio hilo limetokea kwenye geti lililopo kata ya Gehandu mpakani mwa mikoa ya Mara, Singida ikiwa ni operesheni maalumu ya kukagua mazao yasiyopitishwa katika mfumo wa stakabadhi ghalani. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya…

Read More

Mradi wa Sh44 bilioni wazinduliwa Tabora

Tabora. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko, ameagiza Wakala wa Nishati Vijijini (Rea) kutoa kipaumbele kwa Wilaya ya Urambo katika mpango wa vijiji 28,000 vitakavyopatiwa umeme. Ametoa agizo hilo leo Ijumaa, Mei 2, 2025, wakati wa uzinduzi wa kituo cha kupokea, kupooza na kusambaza umeme cha Uhuru, msongo wa kilovoti 132,…

Read More

Mabondia Wanawake Wapewa Truck Suits na Meridianbet

IKIWA leo hii ni tarehe 6 mwezi Machi wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet katika kuendeleza usawa na kukuza michezo ya wanawake, Meridianbet imetoa msaada wake kwa wanawake mabondia kwa kugawa mavazi maalum ya truck suits. Mavazi haya yataenda kutumika kwa mabondia wanaojiandaa kushiriki michuano ya ngumi inayotarajiwa kufanyika huko Serbia tarehe 9 mwezi huu. Meridianbet…

Read More

JUBILEE WAZINDUA BIDHAA YA FBIZ KUWAFIKIA WAFANYA KAZI WALIOKO KATIKA KAMPUNI NDOGONDOGO

    Na Said Mwishehe, Michuzi TV KAMPUNI ya Jubilee Insurance imezindua huduma ya  bima ya FBiz  itakayokuwa ikihudumia wafanyakazi walioko katika Kampuni ndogo ndogo zenye wafanyakazi kuanzia watatu mpaka 15,lengo kuu la bidhaa hiyo ni kuwafikia wafanyakazi hao ambao wamekuwa wakihitaji kupata huduma za Kampuni hiyo. Akizungumza leo Julai 29,2024 jijini Dar es Salaam…

Read More

BASHE APONGEZA KAZI NZURI ZA ASA – NZEGA

WAZIRI wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) ameridhishwa na kazi nzuri inayofanywa na Wakala wa Mbegu za Kilimo (ASA) kufuatia ziara yake ya ukaguzi wa shamba la mbegu tarehe 16 Septemba 2024 lililopo Undomo, Wilaya ya Nzega. Shamba hilo lina ukubwa wa hekta 802.47 ambapo hekta 602 zimetumika kwa ajili ya uzalishaji wa mbegu kwa…

Read More