Siri ya Taliss ubingwa wa kuogelea hii hapa

Nahodha wa Taliss Swim Club, Delbert Ipilinga amefichua siri ya kuibuka washindi wa jumla kwenye michuano ya 16 ya Klabu Bingwa Tanzania (TNCC) kuwa ni bidii na uthubutu. Klabu hiyo ilikusanya pointi 385 katika michuano ya siku mbili iliyofanyika katika Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (IST) jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. “Nashukuru tumetwaa…

Read More

Vita ya nafasi Ligi Kuu, ukizubaa unashushwa

RAUNDI ya 18 ya Ligi Kuu Bara itaanza kesho kwa michezo miwili kupigwa kwenye viwanja viwili, mchezo wa mapema saa 10:00 jioni utapigwa CCM Kirumba mjini Mwanza kati ya Pamba Jiji dhidi ya matajiri wa Jiji la Dar es Salaam, Azam FC. Timu hizo zitakutana zikiwa na morali baada ya kushinda michezo ya mwisho baada…

Read More

KEKI KUBWA ZAIDI AFRIKA MASHARIKI YATINGISHA SABASABA – LAZIZ BAKERY YAONYESHA MAFANIKIO YA SERIKALI KWA UBUNIFU WA KIPEKEE

::::::::’ KATIKA Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama sabasaba,kampuni ya Laziz Bakery imeibua mshangao na kuvutia maelfu ya watembeeleaji way maonesho hayo baada ya kutengeneza keki kubwa yenye uzito wa tani 3 sawa na kilo elfu 3, ikiwa ni keki kubwa zaidi kuwahi kutengenezwa Afrika Mashariki. Keki hiyo si tu ya kipekee…

Read More

Serikali kuanzisha Tume ya Taifa ya Ardhi kumaliza migogoro

Dodoma. Serikali iko mbioni kuanzisha Tume ya Taifa ya Ardhi (Land Commission), ikieleza itakuwa mwarobaini wa kuondoa migogoro. Kauli hiyo imetolewa leo, Ijumaa Mei 23, 2025, na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Deo Ndejembi, alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu utekelezaji wa shughuli za wizara kwa kipindi cha miaka minne. Waziri Ndejembi…

Read More

Mwili wa Ulomi wawasili kijijini kwao, maziko leo

Siha. Mwili wa mfanyabiashara Daisle Ulomi umewasili nyumbani kwao, kitongoji cha Kikwe, Kata ya Nasai, Sanya Juu, wilayani Siha kwa ajili ya maziko yanayofanyika leo Desemba 20, 2024 katika makaburi ya familia. Ulomi, mfanyabiashara wa huduma za kifedha kupitia mitandao, alipata ajali Desemba 11 jijini Dar es Salaam na mwili wake ulitambuliwa na famiia Desemba…

Read More