WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI

Na Mwandishi Wetu, Sengerema MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amesema baada ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan Kuvunja Bunge Juni 27 mwaka huu,kazi iliyobakia kwa Chama hicho itakuwa ni kuendesha taratibu za kupata wagombea na kusisitiza haitaka mtu bali itateua. Wasira ameyasema hayo leo Juni 24,2025 alipokuwa akizungumza katika mkutano wa hadhara…

Read More

Mambo ya kuzingatia kabla ya kuanza biashara

Biashara ndogondogo zinaonekana kuwa mkombozi kwa watu wengi linapokuja suala la kupata ajira na kipato. Hata hivyo, kuanzisha na kuendeleza biashara ndogondogo si jambo jepesi. Bila kuzingatia mambo haya ni rahisi kwa biashara kufa ama kutopata mafanikio. Asilimia kubwa ya wale ambao wapo kwenye biashara wanadhani kuwa mtaji ama kuwa na kiasi fulani cha fedha…

Read More

Tume yatakiwa itafute mwarobaini kero za kodi

  Rais Samia Suluhu Hassan, amesema mfumo mzuri wa ukusanyaji na ulipaji wa kodi, utafanikisha lengo la kujenga uchumi jumuishi na unaokua kwa kasi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Ameyasema hayo leo Ijumaa tarehe 04 Oktoba 2024, alipokuwa akizindua Tume ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi, aliyoiunda hivi karibuni. Amesema…

Read More

KATAMBI AZINDUA KONGAMANO LA VIJANA DODOMA

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi leo tarehe 10 Agosti, 2024 amezindua Kongamano la vijana Jijini Dodoma ikiwa ni kuelekea siku ya vijana kimataifa Agosti 12, 2024. Kongamano hilo ambalo linaratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kushirikiana na kushirikiana na Wadau wa Maendeleo ya…

Read More