Wafanyabiashara Soko la Nguzo walia na tozo, miundombinu chakavu
Shinyanga. Wafanyabiashara wa Soko la Nguzo Nane lililopo Manispaa ya Shinyanga, mkoani Shinyanga, wamezungumzia kero na changamoto mbalimbali wanazokumbana nazo katika shughuli zao za kila siku, hali wanayosema inakwamisha ufanisi wa biashara ndani ya soko hilo. Wakizungumza leo Jumamosi Januari 31, 2026 wakati wa ziara ya kushtukiza iliyofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni…