Moto wateketeza stoo ya viatu Kariakoo

Dar es Salaam. Taharuki imetanda katika Mtaa wa Narung’ombe, Kariakoo baada ya sehemu ya jengo lenye ghorofa saba kuungua moto leo, huku chanzo cha moto kikiwa bado hakijajulikana. Moto huo umetokea leo Septemba 22, 2025 katika Mtaa wa Narung’ombe katika moja ya ghorofa linalotumika kuhifadhia mizigo ya wafanyabiashara mbalimbali waliopanga eneo la Kariakoo. Mashuhuda wamesema…

Read More

Samsung Galaxy A25 Yakungoja Ukicheza Super Heli

USHINDI haupo tu kwenye dau unaloliweka bali upo kwenye namna unavyozitumia fursa, na aina ya zawadiunazozipata. Meridianbet imebadilisha mchezo kwa kuleta ofa ya kipekee, simu mpya ya Samsung Galaxy A25 kwa wachezaji wa Super Heli. Hii si promosheni ya kawaida, ni mwaliko wa kuingia kwenye dunia ya ushindi wa teknolojia. Super Heli ni mchezo wa…

Read More

Kadi nyekundu yamliza Kikoti | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa Namungo, Lucas Kikoti amezungumzia tukio la kuwa mchezaji wa kwanza kuonyeshwa kadi nyekundu msimu huu 2025/26 kuwa amepata kadi hiyo akiwa katika majukumu ya kuipambania timu yake, lakini amesikitika kushindwa kumaliza mchezo. Kikoti ameingia katika rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kuonyeshwa kadi nyekundu msimu huu baada ya Massoud Abdallah ‘Cabaye’ anayekipiga…

Read More

Mayanga ageukia mastraika Mashujaa FC

KOCHA mkuu wa Mashujaa, Salum Mayanga amesema ana kazi kubwa ya kufanya kwenye safu yake ya ushambuliaji kuhakikisha wanatumia kila nafasi wanayotengeneza huku akiweka wazi kuwa ligi ya msimu huu ni pasua kichwa. Mayanga amefunguka hayo baada ya kukusanya pointi nne kwenye mechi mbili walizocheza akianza na sare dhidi ya JKT Tanzania ya bao 1-1…

Read More

Mtibwa Sugar shida iko hapa

MABINGWA wa zamani wa Tanzania, Mtibwa Sugar imeanza vibaya Ligi Kuu Bara kwa kufungwa bao 1-0 na Mashujaa mjini Kigoma, huku kocha wa kikosi hicho, Awadh Juma ‘Maniche’ ametaja sababu za kupoteza alama tatu, akiwataja washambuliaji. Mtibwa iliyorejea katika ligi hiyo baada ya kupanda daraja msimu huu tangu iliposhuka msimu wa 2023-2024 kwa kucheza Ligi…

Read More

Fadlu atambulishwa Raja Club Athletic, Simba yamshukuru

Klabu ya Raja Club Athletic imetangaza kufanya mabadiliko katika benchi lake la ufundi. Katika taarifa yake waliyoichapisha kwenye mtandao wa kijamii imesema “Kulingana na mapendekezo ya Mkurugenzi wa Michezo na tathmini ya jumla iliyofanywa na Kamati ya Michezo kuhusu awamu ya maandalizi ya msimu huu, pamoja na mechi rasmi za kwanza, Raja Club Athletic inatangaza…

Read More