Wafanyabiashara Soko la Nguzo walia na tozo, miundombinu chakavu

Shinyanga. Wafanyabiashara wa Soko la Nguzo Nane lililopo Manispaa ya Shinyanga, mkoani Shinyanga, wamezungumzia kero na changamoto mbalimbali wanazokumbana nazo katika shughuli zao za kila siku, hali wanayosema inakwamisha ufanisi wa biashara ndani ya soko hilo. Wakizungumza leo Jumamosi Januari 31, 2026 wakati wa ziara ya kushtukiza iliyofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni…

Read More

Ufaulu kidato cha nne 2025 wapaa, sayansi bado pasua kichwa

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika Novemba 2025, yakionesha picha mseto ya ufaulu ambapo wasichana wameongoza kwa idadi ya waliofaulu, huku wavulana wakionesha ubora wa juu zaidi wa ufaulu kwa madaraja ya juu. Matokeo hayo yanaonesha kuwa ufaulu umeongezeka ikilinganishwa na mwaka 2024, hali…

Read More

VITONGOJI VYOTE MKOA WA KILIMANJARO SASA KUWA NA UMEME

📌 Wananchi wahamasishwa kuanza kufanya wiring kupokea mradi wa vitongojini 📌 Wananchi watakiwa kulinda miundombinu ya umeme 📌 Bilioni 33.5 kupeleka umeme vitongoji 186 Kilimanjaro Wananchi katika vitongoji 186 ambavyo vinatarajiwa kupelekewa umeme Mkoani Kilimanjaro wamehamasishwa kuanza kufanya maandalizi ya kuupokea mradi huo kwa kuanza kutandaza nyaya ndani ya nyumba zao (wiring). Rai hiyo imetolewa…

Read More

Shirika la Umoja wa Mataifa laonya kwamba vita vya Ukraine bado ni tishio kubwa zaidi kwa usalama wa nyuklia duniani – Global Issues

Akihutubia Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) Bodi ya Magavana, Mkurugenzi Mkuu Rafael Grossi alisema shirika hilo bado linalenga kuzuia ajali ya nyuklia huku mapigano yakiendelea kuhatarisha miundombinu muhimu. “Mgogoro nchini Ukraine unakaribia kuingia mwaka wake wa tano,” Bw. Grossi alisema. “Inaendelea kuwa tishio kubwa zaidi duniani kwa usalama wa nyuklia.” Timu za…

Read More

Uchakachuaji wa tumbaku, wachelewesha bei msimu 2025/2026

Kahama. Uchafuzi wa tumbaku na kuchanganya madaraja, kumetajwa kuathiri uendelevu wa biashara ya zao hilo nchini, pamoja na kusababisha hasara kwa kampuni zinazonunua tumbaku kupitia Chama Kikuu cha Ushirika Kahama (Kacu). Hali hiyo pia imeathiri upangaji wa bei ya tumbaku kwa msimu wa 2025/26, kwenye chama hicho kikuu cha ushirika. Katibu Tawala Wilaya ya Kahama,…

Read More