ANGELA KAIRUKI ACHUKUA FOMU YA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KIBAMBA KUPITIA CCM
Pazia la uchukuaji wa fomu za kuwania ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) limefunguliwa rasmi leo, ambapo mwanasiasa mahiri Angela Kairuki amechukua fomu ya kuwania ubunge katika Jimbo la Kibamba. Fomu hiyo imekabidhiwa kwake na Msimamizi wa Uchaguzi wa Wilaya ya Ubungo, Bi. Rose Mpeleta. Mara baada ya kukabidhiwa fomu, Kairuki alieleza kuwa yeye na…