Jinsi vitendo vya huruma vinavyowasha njia ya uponyaji – maswala ya ulimwengu

Safari yake katika kazi ya kibinadamu ilianza baada ya miaka ya kutumikia hospitalini huko Aden, ambapo alishuhudia mwenyewe mapambano ambayo jamii zilizo hatarini zinakabili katika kupata huduma za afya. “Katika Aden, nilifanya kazi katika hospitali ya kibinafsi,” alikumbuka. “Niligundua kuwa watu wengi hawawezi kumudu matibabu. Ukweli huo ulinisukuma kutafuta njia ya kusaidia wale waliobaki.” Aliamua…

Read More

Kariakoo Derby Kupigwa Amaan Complex Leo Usiku

Global Publishers March 1, 2026 0 Comments Macho na masikio ya mashabiki wa soka nchini yataelekezwa Zanzibar usiku wa leo wakati watani wa jadi watakapokutana katika pambano la Kariakoo Derby. Mchezo huo unatarajiwa kupigwa katika dimba la Amaan Stadium (Amaan Complex) kuanzia saa 2:15 usiku, huku presha ikiwa kubwa kwa kila upande kusaka ushindi muhimu….

Read More

TEC yawapa onyo mapadri, watawa

Dar es Salaam. Kanisa Katoliki nchibni Tanzania limewapiga marufuku watawa, mapadri na waseminari kujihusisha na kampeni za uchaguzi za chama chochote cha siasa, wala kuvaa sare zao ili kulinda heshima na usafi wa kanisa hilo. Wito huo umetolewa leo Septemba 25, 2025 na Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Wolfgang Pisa, wakati…

Read More

Askofu Shao: Amani isiwe mdomoni tu

Dodoma. Askofu wa Jimbo Katoliki Zanzibar, Augustino Shao amesema amani ya kweli haiwezi kupatikana bila haki, akisisitiza kwamba mioyo ya watu wengi inavuja kwa kukosa haki licha ya kuonekana wametulia. Askofu Shao amesema hayo leo leo Jumapili Septemba 29, 2025 wakati akihubiri kwenye misa ya Sakramenti ya Kipaimara, katika Parokia ya Kivule, Jimbo Kuu Katoliki…

Read More

Hatari iliyopo watumiaji ‘system charge’ za simu

Shinyanga. Kwa mujibu wa ripoti ya hivi karibuni kuhusu ulinzi wa taarifa binafsi duniani, takribani nchi 144 zimepitisha sheria zinazolenga kulinda data binafsi za raia wao. Sheria hizi zinawahusu watu takribani bilioni 6.64, sawa na asilimia 82 ya watu wote duniani. Hii ina maana kuwa karibu asilimia 83 ya watu duniani wapo chini ya sheria…

Read More