Wanaotaka kumrithi Ndugai yumo Injinia Hersi

Dodoma. Baadhi ya majina ya wanachama 24 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) waliochukua fomu kuwania uteuzi wa kugombea ubunge wa Jimbo la Kongwa kufuatia kifo cha aliyekuwa hayati Job Ndugai, yameanza kufahamika, likiwamo la Rais wa Klabu ya Yanga, Injinia Hersi Said. Fomu za kuomba kugombea ubunge zilichukuliwa na kurudishwa juzi baada ya CCM kutangaza…

Read More

Wawili wafariki kwa ajali Tabora

Tabora. Watu wawili wamefariki dunia akiwemo dereva wa bajaji ya mizigo na msaidizi wake kufuatia kugongwa na basi la abiria kampuni ya Yehova Yire, lililokua likitokea Dar es Salaam kwenda mkoani Kigoma baada ya kuacha njia  na kuigonga bajaji hiyo. Akizungumzia ajali hiyo Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Costantine Mbogambi amesema imetokea katika…

Read More