Minziro kufyeka wavivu Pamba Jiji

PAMBA Jiji bado inajitafuta katika msimu wa kwanza wa kurejea katika Ligi Kuu Bara na sasa kocha wa kikosi hicho, Fred Felix ‘Minziro’ ameweka bayana atatembeza panga kufyeka wachezaji wote wasiojituma kupitia dirisha dogo litakalofunguliwa mwezi ujao na kufungwa Januari 15 mwakani. Pamba imerejea Ligi Kuu baada ya kuisotea kwa miaka 23 tangui iliposhuka mwaka…

Read More

Nyasebwa: Ushindani mwanza ni mkubwa

Kocha wa mchezo wa Kikapu Mkoa wa Mwanza, Benson Nyasebwa amesema ushindani wa ligi hiyo mkoani humo ni mkubwa. Nyasebwa aliliambia Mwanaspoti, ushindani huo unatokana na viwango vikubwa vinavyoonyeshwa na timu zote zinazoshiriki ligi hiyo. Wakati huo huo, Planet iliifunga Crossover kwa pointi 59-49 katika mchezo wa ligi ya mkoa wa Mwanza katika Uwanja wa…

Read More

Ijue Katiba ya JMT kwa jicho la mtunga Katiba

Leo naendelea na mfululizo wa makala zangu elimishi kuhusu Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT), nikilielekeza jicho langu kwa Bunge. Kwa mujibu wa Ibara ya 62 ya Katiba, JMT itakuwa na Bunge ambalo litaundwa na sehemu mbili: Rais na Wabunge. Hii ina maana kwamba, japo Bunge ni mhimili unaojitegemea, Rais wa Tanzania bado…

Read More

Trump ajitangaza mshindi wa urais Marekani – DW – 06.11.2024

Matokeo ya awali yanaonesha Donald Trump anaongoza. Matokeo rasmi hayajatangazwa, lakini Donald Trump ameshajitangaza mshindi. Kura za uchaguzi wa urais Marekani zaendelea kuhesabiwa Trump ametangaza kushinda urais akisema ni ushindi wa kihistoria ambao haujashuhudiwa nchini humo. Kwenye hotuba mbele ya ushindi kwa wafuasi wake huko Palm Beach, Florida Trump aliyeongozana na familia yake, alikiri matokeo haya…

Read More

ACT-Wazalendo yajizatiti kupigania Liganga-Mchuchuma | Mwananchi

Songea. Chama cha ACT- Wazalendo kimesema kitaendelea kuuvalia njuga suala la Liganga na Mchuchuma ambao ni mradi wa kimkakati unaolenga kukuza uchumi wa viwanda kwa kuanzisha sekta za msingi zitakazosaidia sekta nyingine katika mnyororo wa thamani. Kimesisitiza hakitachoka kuupigania  mradi huo uanze kwa sababu una faida na manufaa yatakayowanufaisha wananchi wa Ruvuma, Njombe wanufaike na…

Read More

Namba zamkatisha tamaa Kocha Azam

KIPIGO cha bao 1-0 ilichokipata Azam mbele ya Singida Black Stars, kimemfanya kocha wa timu hiyo, Rachid Taoussi kuonyesha dalili za waziwazi amekata tamaa. Azam kwa sasa ipo nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi ikiwa na pointi 51 baada ya kucheza mechi 25 na Taoussi alisema matumaini ya wao kutwaa ubingwa msimu huu yamevunjika…

Read More

MSAMA: RAIS SAMIA ANAONGOZA TAIFA KWA MUONGOZO WA MUNGU

Mkurugenzi wa Msama Production, Bw. Alex Msama, amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, anaongoza taifa hili kwa hekima na maono yanayoendana na muongozo wa Mungu. Alieleza kuwa utekelezaji wa majukumu ya Rais Samia unaakisi misingi ya kiroho, heshima kwa neno la Mungu, na dhamira ya kweli ya kuwaletea…

Read More