Jeshi la Guinea-Bissau laidhibiti nchi, Rais Embaló akamatwa

Bissau. Kundi la maofisa wa jeshi nchini Guinea-Bissau limetangaza kuiangusha serikali na kuchukua uongozi wa nchi, huku taarifa zikidai kuwa Rais Umaro Sissoco Embaló amekamatwa. Taarifa za awali kutoka kwa vyanzo vya serikali nchini humo, vimeiambia BBC kwamba kiongozi huyo ametiwa mbaroni muda mfupi baada ya milio ya risasi kusikika katika mji mkuu, Bissau, usiku…

Read More

Kocha Simba afikisha siku 681 rumande, upelelezi bado

KOCHA wa zamani wa makipa wa timu ya Simba, Muharami Sultani (40) maarufu kama Shilton na wenzake, wanaendelea kusota rumande kwa siku 681 hadi sasa kutokana na upelelezi wa shauri hilo kutokamilika. Sultan na wenzake watano wanakabiliwa na mashtaka manane yakiwamo ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroine zenye uzito wa kilo 34.89 pamoja…

Read More

BALOZI MBAROUK AFUNGUA MKUTANO WA NNE WA BARAZA LA WAFANYAKAZI LA WIZARA

NaibuWaziri wa Mambo na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi MbaroukNassor Mbarouk (Mb) akifungua Mkutano wa Nne wa Baraza la Wafanyakazi laWizara lililofanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifacha Arusha (AICC) tarehe 02 Mei, 2024 ……………… Naibu Waziri Mambo ya Nje naUshirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amefungua Mkutanowa Nne wa Baraza…

Read More

SIMBA AMJERUHI MWENYEKITI WA KIJIJI – MWANAHARAKATI MZALENDO

    Mwenyekiti wa kijiji cha Amani kilichopo katika Kata ya Mundindi Wilayani Ludewa Mkoani Njombe Issa Luoga amenusurika kuuwawa wakati akipambana na mnyama Simba wakati wakimsaka baada ya kugundua ameingia kijijini hapo.       Akizungumza akiwa katika hospitali ya kanisa Katoliki iliyopo Kata ya jirani Lugarawa, mwenyekiti huyo amesema katika kumsaka Simba huyo…

Read More

Dk Chaya aahidi maboresho ya miundombinu akizisaka kura

Dodoma. Mgombea ubunge wa Jimbo la Manyoni, Dk Pius Chaya (CCM) amewaahidi wananchi endapo atachaguliwa kwa mara nyingine, anakwenda kuongeza kasi ya kufungua barabara jimboni humo. Dk Chaya alitoa ahadi hiyo jana Jumatano Septemba 17,2025 katika vijiji vya Kata ya Isseke wilayani Manyoni. Mgombea huyo ameitaja barabara ya Mangoli -Igwamadete, Iseke -Ipanduka hadi Ntumbi, Simbanguru-Mafurungu…

Read More

TANZIA. SPIKA MSTAAFU JOB NDUGAI AFARIKI DUNIA

Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania na Mbunge wa Kongwa, Job Yustino Ndugai amefariki Dunia leo August 06,2025 akiwa anaendelea kupatiwa matibabu Hospitalini baada ya kuugua ghafla. Kwa mujibu wa taarifa ya Spika wa Bunge, Dkt Tulia Ackson aliyoitoa imesema: “Kwa masikitiko makubwa, naomba kutoa taarifa ya kifo cha kiongozi wetu, mwanasiasa mkongwe na Spika…

Read More