Serikali kuwakopesha wajasiriamali Sh200 bilioni

Songwe. Serikali inatarajia kutoa Sh200 bilioni kwa ajili ya kutunisha mfuko wa mikopo ya wajasiriamali na vijana nchini, fedha ambazo zitapitia benki ya NMB ndani ya siku 100 za serikali ya awamu ya sita. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Maendeleo ya Vijana), Joel Nanauka akiwa katika Halmashauri ya Mji wa Tunduma…

Read More

Lwasa aziingiza vitani mbili bara

KIUNGO mshambuliaji wa Kagera Sugar, Mganda Peter Lwasa anaingia Tanzania leo ili kuanza maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu Bara , huku akiziingiza vitani Mtibwa Sugar na Pamba Jiji ambazo zimeonyesha nia ya kumtaka nyota huyo. Hata hivyo, wakati Lwasa akiwaniwa na klabu hizo, taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata zinaeleza kiungo huyo yupo katika mgogoro…

Read More

Kipa Simba atimkia Morocco | Mwanaspoti

WAKATI mabosi wa Simba wakiendelea kujadiliana juu ya kumtema kipa Moussa Camara au la, taarifa kutoka klabu hiyo ya Msimbazi zinadokeza kuwa, mabosi hao wamemalizana na kipa Ayoub Lakred ambaye anajiandaa kwenda kujiunga na klabu ya FUS Rabat ya Morocco anakotokea. Kipa huyo, aliyekuwa kipa namba moja misimu miwili iliyopita kabla ya kuumia na kuletwa…

Read More

Dk. Biteko: Geita msiniangueshe, msiiangushe CCM

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka wananchi wa Geita kujitokeza wa wingi kesho na kuchagua wagombea wa CCM. Amewahimiza wananchi hao kuendelea kumuunga mkono  yeye na CCM ili kutoa…

Read More

Maafisa wa UN wanaonya juu ya njaa huku kukiwa na ‘dharura ya kijinsia’ katika Sudan iliyojaa vita-maswala ya ulimwengu

Hasa hit ngumu ni El Fasher, ambapo njaa inakua, na ofisi ya uratibu wa maswala ya kibinadamu (Ocha) Onyo la hali inayozidi ambayo inaweka maisha ya raia zaidi katika hatari. Mkurugenzi wa shughuli na utetezi wa Ocha, Edem Wosornu, ambaye kwa sasa yuko nchini, alisema mateso hayo ni makubwa, na watu wameshikwa, wamehamishwa au kurudi…

Read More

UWINDAJI WA KITALII KUIINGIZIA TANZANIA BIL.2.5

Na Happiness Shayo- Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatarajia kuingiza jumla ya Dola za Kimarekani 968,000 sawa na shilingi za kitanzania bilioni 2.5 kama ada ya vitalu vya uwindaji wa kitalii kwa mwaka bila mapato mengine. Hayo yamesemwa leo Februari 21,2025 na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt….

Read More

Washindi Tuzo ya Safal ya Kiswahili kujulikana Julai 3

Dar es Salaam. Wakati washindi wa tuzo ya Kiswahili ya Safal ya Fasihi ya Afrika kwa tanzu za riwaya, ushairi, wasifu, tamthilia na michoro wakitarajiwa kutangazwa Julai 3, 2025, imeelezwa kuwa kiwango cha ubora wa miswada inayoshindanishwa kinaongezeka kila mwaka, lengo likiwa ni kukienzi Kiswahili. Hayo yamesemwa leo Alhamisi Juni 26, 2025 jijini Dar es…

Read More

Januari imewadia, miundombinu tayari? | Mwananchi

Dar es Salaam. Asubuhi ya Januari 13, 2026, kengele ya kwanza italia kwa mamilioni ya watoto nchini. Kwa wengine, ni mara ya kwanza kuvaa sare, kubeba mkoba mkubwa kuliko mgongo wao na kushika kalamu wakiwa na mchanganyiko wa hofu na matumaini. Kwa wengine, ni mwanzo mpya wa safari ya sekondari hatua inayobeba ndoto na presha…

Read More