Roy Keane amkataa Michael Carrick kuwa kocha wa kudumu wa Manchester United
Mchezaji wa zamani wa Manchester United, Roy Keane Mchezaji wa zamani wa Manchester United, Roy Keane, ametoa maoni makali akieleza kwa nini haoni sababu ya klabu hiyo kumpa Michael Carrick nafasi ya kuwa kocha mkuu wa kudumu wa timu hiyo. Carrick alipewa jukumu la kuiongoza United kwa muda hadi mwisho wa msimu baada ya klabu…