
Jeshi la DR Congo lazima jaribio la mapinduzi
Kinshasa. Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo limetangaza kuzuia jaribio la mapinduzi dhidi ya Rais Felix Tshikedi jijini Kinshansa. Taarifa hiyo iliyochapishwa katika tovuti ya BBC leo Jumapili Mei 19, 2024 imesema; “Msemaji wa jeshi la DR Congo, Brigedia Jenerali Sylavin Ekenge amesema kwenye kituo cha runinga cha Taifa, RTNC TV kwamba washukiwa kadhaa…