Mreno wa Azam akalia kuti kavu

AZAM FC iko mbioni kuachana na Kocha wa Fiziki na Mtaalamu wa tiba za Wanamichezo (physiotherapist), Mreno Joao Rodrigues baada ya msimu huu kuisha huku ikielezwa sababu kubwa ni majeraha ya wachezaji yanayoiandama. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zinasema Joao hayupo kwenye mipango yao msimu ujao huku sababu ikielezwa wachezaji na viongozi kutokuwa na…

Read More

Gamondi, Fadlu wapigana mkwara | Mwanaspoti

MAKOCHA wa Yanga na Simba, Miguel Gamond na Fadlu Davids ni kama wamenyoosha upanga juu ishara ya kuwa tayari  kwa vita ya Ngao ya Jamii hapo kesho Alhamisi kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa  kwa kila mmoja kueleza alivyojipanga kukabiliana na mwenzake katika mchezo huo wa Dabi ya Kariakoo. Hii itakuwa mara ya kwanza kwa makocha…

Read More

Bashe apongeza kazi nzuri za ASA Nzega

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe (Mb) ameridhishwa na kazi nzuri inayofanywa na Wakala wa Mbegu za Kilimo (ASA) kufuatia ziara yake ya ukaguzi wa shamba la mbegu Septemba 16, 2024 lililopo Undomo, Wilaya ya Nzega. Shamba hilo lina ukubwa wa hekta 802.47 ambapo hekta 602 zimetumika kwa ajili ya uzalishaji…

Read More

KATIBU MKUU UWT APOKEA TARAKILISHI 34

📍 8 Novemba, 2024~Dodoma Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT), *Ndg. Suzan Kunambi (MNEC)* amepokea jumla ya tarakilishi (computer) 34 kutoka kwa Mbunge wa Viti Maalum, *Mhe. Stella Ikupa*. Tarakilishi hizo zitasambazwa na kukabidhiwa katika ofisi za Makao Makuu ya UWT pamoja na Mikoa yote ya Tanzania Bara na Zanzibar…

Read More

Nyota Simba aangua kilio uwanjani

NAHODHA wa timu ya vijana ya Simba chini ya miaka 17, Abdul Salum ‘Camavinga’ ameangua kilio  baada ya timu yake kupoteza mchezo wa kwanza katika ligi hiyo dhidi ya Yanga kwa mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi. Camavinga ambaye alionyesha kiwango bora katika mchezo huo, ilibidi abembelezwe na wachezaji wenzake pamoja na benchi…

Read More

Mangungu, Hersi bungeni wasitusahau | Mwanaspoti

KUNA roho fulani inaniambia kuwa viongozi wawili wa juu wa klabu za Simba na Yanga watajitosa kuwania ubunge katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Viongozi hao ni Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu na Rais wa klabu ya Yanga, Mhandisi Hersi Said. Kwa namna ambavyo hawa watu wamepata mafanikio katika…

Read More