WAZIRI MCHENGERWA AWABARIKI MADIWANI WOTE NCHINI VISHKWAMBI

Na Pamela Mollel,Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh.Paul Makonda amewataka madiwani wote kwenda kuwa mabalozi wazuri wa kazi zilizofanywa na serikali ya Rais Dkt,Samia Suluhu Hassan ambaye amekuwa mwana mageuzi wa kiuchumi nchini Tanzania Ametoa Rai hiyo leo juni 20,2025 wakati akiongea katika baraza la madiwani jiji la Arusha ambapo mabaraza yote nchini yamevunjwa…

Read More

Chadema kujifungia kutafakari ‘No Reforms No Election’

Dar es Salaam. Viongozi wa juu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamesema wanakwenda kujifungia kwa wiki moja kupanga mikakati ya kushinikiza mabadiliko ya mifumo ya uchaguzi kabla ya kuushiriki. Oktoba mwaka huu, Tanzania inatarajia kufanya uchaguzi wake mkuu wa kuwachagua, madiwani, wabunge na Rais. Akizungumza leo Jumatano, Januari 29, 2025 baada ya kuripoti…

Read More

Skimu 8 za umwagiliaji kunufaisha wananchi wilayani Nyasa

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Wananchi wa Kijiji cha Lundo, Kata ya Lipingo, Wilaya ya Nyasa wamehakikishiwa kuwa na kilimo cha umwagiliaji cha uhakika kufuatia Serikali kuanza ujenzi na ukarabati wa skimu 8 za umwagiliaji eneo hilo. Wakulima hao wanalima zaidi mazao ya mpunga, muhogo, michikichi, mipera, kahawa na mengine. “Changamoto zetu zaidi ni skimu…

Read More

KAMPENI YA TUWAAMBIE KABLA YA HAWAJAHARIBIWA YAENDELEA ARUSHA

Na.Vero Ignatus Arusha. Jeshi la Polisi wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha limeendelea kutoa Elimu ya kujitambua na namna ya kujiepusha na vitendo via mmomonyoko wa maadili kwa wanafunzi wa shule za Sekondari wilayani humo, kujiepusha na makundi na mabaya yatakayoharibu tabia njema na kuingia kwenye upotokaji Akizungumza leo 25octoba 2024 na wanafunzi Katibu Tawala wilaya…

Read More

Kisa Karia, Manara ahojiwa Polisi, aachiwa

OFISA Habari wa zamani wa Simba na Yanga, Haji Manara ameshtakiwa polisi na Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia. Leo Ijumaa, Manara aliitwa na Jeshi la Polisi Tanzania kisha kuhojiwa kwa tuhuma za kumdhalilisha Karia mtandaoni. Manara ambaye ni mwanachama wa Yanga, inaelezwa ametoa maelezo kwa maandishi katika Kituo cha Polisi cha…

Read More

Ubingwa WPL… Yanga yatibua hesabu za Simba

KIPIGO cha mabao 2-0 ilichopata jioni hii Yanga Princess mbele ya JKT Queens kimetibua hesabu za watetezi wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), Simba Queens katika mbio za ubingwa kwa msimu huu. Yanga Princess ilikubali kichapo hicho kwenye Uwanja wa KMC Complezxx, Mwenge Dar es Salaam na kuiwezesha JKT kurejea kileleni ikiing’opa Simba Queens inayotetea…

Read More