
Hizi Hapa Sababu Zinazopelekea Mfumuko wa Bei Nchini – MWANAHARAKATI MZALENDO
Idara ya Mawsailiano Serikalini kupitia Wizara ya Fedha imeamua kutoa elimu kwa umma kuhusu Mfumuko wa Bei na Kupanda kwa gharama za maisha . Kupitia nakala zilizo na ufafanusi wa maana halisi ya mfumuko wa bei pia inabainisha jitihada za serikali katika kujikwamua kutoka katika wimbi hilo. #KonceptTvUpdates Soma kwa makini upate jifunza jambo hapo…