Taifa Stars kanyaga twen’zetu robo

HAKUNA kitu kingine kinachosubiriwa na mashabiki wa soka nchini, ila kusikia na kuiona timu ya taifa, Taifa Stars ikivuka hatua ya makundi na kutinga robo fainali ya michuano ya Ubingwa wa Nchi za Afrika (CHAN) 2024 kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania. Stars inayoongoza msimamo wa Kundi B ikiwa pia ndio wenyeji wa…

Read More

Chadema kuweka kambi Mbeya kushinikiza Mdude atafutwe

Mbeya. Ikiwa ni siku ya saba tangu kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na mwanaharakati Mdude Nyagali, kuchukuliwa na watu wanaodaiwa kuwa ni polisi, wafuasi na viongozi wa chama hicho takriban 500 wameamua kuweka kambi katika ofisi za Kanda, wakisubiri tamko kutoka kwa viongozi wa kitaifa. Hatua hiyo imetajwa kuwa ni kutokana na…

Read More

Huu hapa ugonjwa unaomtesa Bwege

Dar es Salaam. Aliyewahi kuwa mbunge wa Kilwa Kusini, Seleman Bungara (Bwege) ameeleza magumu anayopitia kwenye ugonjwa wa figo unaomsumbua hivi sasa. Itakumbukwa Bwege aliwahi kuumwa sukari, ugonjwa uliosababisha akatwe mguu wake wa kushoto miezi kadhaa iliyopita. Akizungumza na Mwananchi jijini Dar es Salaam leo Alhamisi Aprili 17, 2025, mwanasiasa huyo aliyevuma kwa vionjo vyake…

Read More

Chadema yakomaa na Muliro, mageuzi

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kuvutana na Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, huku kila upande ukimtuhumu mwenzake kwa kutotekeleza majukumu yake kwa kuzingatia sheria. Tangu kukamatwa kwa mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Tundu Lissu akiwa anahutubia  Kampeni ya No reforms, no election, Mbinga mkoani Ruvuma na…

Read More

TRA yaandika historia mpya ya makusanyo

Dar es Salaam. Wakati mwaka mpya wa fedha ukianza leo, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imemaliza mwaka wa fedha 2024/2025 kwa mafanikio, ikivuka lengo la makusanyo yake na kuandika historia mpya ya ukusanyaji. Katika mwaka huo wa fedha, lengo lilikuwa kukusanya Sh31.5 trilioni, ila hadi kufikia Juni 30, makusanyo yalifikia Sh32.2 trilioni, ambayo ni ufanisi…

Read More

Chadema jino kwa jino na INEC kanuni za uchaguzi

Dar es Salaam. Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Dk Rugemeleza Nshala amesema Watendaji wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), wanapaswa kujitathimini kama wanaweza kutekeleza majukumu yao baada ya kusema Chadema hakitashiriki uchaguzi kwa kuwa  hakijasaini kanuni za maadili ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Amesema sababu za chama au mgombea  kutoshiriki uchaguzi mkuu zimetajwa kwenye…

Read More

Ajibu aikacha Coastal akimbilia jeshini

KIUNGO mshambuliaji wa zamani wa Simba, Yanga, Azam na Singida FG aliyekuwa akikipiga Coastal Union, Ibrahim Ajibu amesaini mkataba wa miaka miwili na maafande wa JKT Tanzania. Ajibu aliyeichezea Coastal kwa mafanikio akiwa nahodha akisaidiana na wenzake waliifanya timu hiyo imalize ya nne katika Ligi Kuu Bara hivi karibuni na kukata tiketi ya Kombe la…

Read More

SERIKALI YARIDHIA MIKATABA 12 YA MAZINGIRA

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akijibu maswali bungeni wakati wa Kikao cha 45 Mkutano wa 15 wa Bunge jijini Dodoma leo Juni 10, 2024. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akizungumza na Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba wakati wa Kikao…

Read More