
Taifa Stars kanyaga twen’zetu robo
HAKUNA kitu kingine kinachosubiriwa na mashabiki wa soka nchini, ila kusikia na kuiona timu ya taifa, Taifa Stars ikivuka hatua ya makundi na kutinga robo fainali ya michuano ya Ubingwa wa Nchi za Afrika (CHAN) 2024 kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania. Stars inayoongoza msimamo wa Kundi B ikiwa pia ndio wenyeji wa…