VIKUNDI VYATAKIWA KUJISAJILI VIWEZE KUTAMBULIKA

Afisa Msimamizi Mkuu wa Fedha, kutoka Idara ya Uendelezaji wa Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha Bw. Salim Khalfan Kimaro, akiteta jambo na Wakazi wa Wilaya ya Nachingwea Bi. Zaituni Salum (kushoto) na Bi. Husna Makong’o, baada ya kumalizika kwa semina ya utoaji elimu ya fedha wilayani humo mkoani Lindi ambapo mada mbalimbali zilifundishwa ikiwemo…

Read More

Muasisi wa WikiLeaks hatimae aondoka London alikokuwa jela. – DW – 25.06.2024

Mwasisi wa mtandao wa WikiLeaks, uliotumika  kufichuwa siri kubwa kubwa za serikali za mataifa mbali mbali duniani, Julian Assange hatimae ameachiwa huru kwa dhamana, Jumatatu. Assange aliachiwa huru kwa dhamana kutoka jela yenye ulinzi mkali ya  Kusini Mashariki mwa London jana Jumatatu. Mkewe Stella Assange akionekana kushusha pumzi alisema hivi sasa mumewe ni mtu huru, …

Read More

KOKA APANIA KULETA MAPINDUZI SEKTA YA ELIMU TANGINI

NA VICTOR MASANGU,KIBAHA Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Mhe.Silvestry Koka katika kuunga mkono juhudi za Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan katika kuboresha sekta ya elimu ameahidi kutumia fedha za mfuko wa jimbo kwa asilimia 85 kwa ajili ya kuboresha elimu. Koka ameyasema hayo wakati wa ziara yake ya kikazi kwa ajili ya kuweza kutembelea na…

Read More

WATANZANIA TUSIKUBALI UCHAGUZI UTUGAWE – DKT. BITEKO

   Asema Kuna Maisha baada ya Uchaguzi  Amwakilisha Rais Samia,miaka 40 Kanisa Anglikana Dayosisi ya Kagera *Rais Samia achangia Tsh. Milioni 50 Ujenzi wa Kanisa Dayosisi ya Kagera * Anglikana Waishukuru Serikali, washirika wa maendeleo Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto…

Read More

Makipa Taifa Stars wana jambo Chan 2024

MAKIPA wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Hussein Masalanga na Yakubu Suleiman wamezungumzia wanavyojifunza vitu vingi kupitia Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN). Masalanga ambaye anatarajia kuongeza mkataba mpya na Singida Black Stars baada ya ule aliokuwa nao kumalizika msimu uliopita, alisema michuano ya CHAN anaitumia kama fursa ya…

Read More

Russia yalipiza kisasi kwa Ukraine

Wiki moja baada ya jeshi la Ukraine kuingia katika mipaka ya nchi ya Russia na kushambulia baadhi ya maeneo ya nchi hiyo, kibao sasa kimegeuka. Taarifa zinasema kuwa Russia nayo imejibu mashambulizi kwa kuvurumisha makombora nchini Ukraine, ikitumia ndege zisizo na rubani zilizolenga makazi ya watu na kusababisha vifo vya raia takriban wanne na kuharibu…

Read More

Takukuru yawapa neno vijana, kina mama kurubuniwa na wagombea

Dar es Salaam. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imewataka vijana na kina mama kushiriki katika kudhibiti na kupambana na rushwa kwa kutoa taarifa pindi wagombea wanapowashawishi wawachaguliwe kwa kutoa rushwa. Akizungumzia leo Jumanne, Julai 9,2024 kuhusu udhibiti wa vitendo vya rushwa kwenye uchaguzi katika Kipindi cha Elimu Jamii cha Redio Maria kutoka…

Read More

NIDA YAJA NA MBINU MPYA KUHAKIKISHA VITAMBULISHO VANACHUKULIWA

Na Mwandishi wa NIDA Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imewataka wale wote ambao hawakujitokeza kuchukua vitambulisho vyao vya Taifa vilivyopelekwa katika ofisi za Kata, Vijiji, Mitaa, Vitongoji na Shehia kufika katika ofisi za NIDA za wilaya walikojisajili kuchukua vitambulisho vyao mara watakapopokea ujumbe mfupi wa maandishi katika simu zao za mkononi (sms) unaowataka kufanya…

Read More