Mbili zapanda Ligi Kuu Zenji, Zimamoto yaua

WAKATI maafande wa KVZ na Zimamoto wakifanya mauaji katika mechi za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) iliyopo ukingoni, timu za Muembe Makumbi na Inter Zanzibar zimekuwa za kwanza kupanda ligi hiyo kwa msimu ujao wa 2024-2025. Muembe Makumbi ilikata tiketi ya kucheza Ligi Kuu kwa msimu ujao baada ya juzi kuifumua New King kwa mabao 2-0…

Read More

Hizi hapa sababu shambulio la moyo huathiri zaidi wanawake

Dar es Salaam. Magonjwa ya shambulio la moyo (heart attack) huwaathiri zaidi wanawake kuliko wanaume, huku ikielezwa kuwa Watanzania wanakimbilia zaidi India kutibiwa magonjwa ya mifupa. Hayo yameelezwa na Daktari Bingwa wa Magonjwa ya ndani ya mwili Narendra Swamy, kutoka Hospitali ya Ramaiah ya India alipokuwa katika mahojiano maalumu yaliyofanyika leo Jumatano, Agosti 6, 2025….

Read More

Wasomi: Kurejea kwa Dk Slaa ni turufu kwa Chadema

Dar/Mbeya. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikitangaza kurejea kwa kada wake wa zamani, Dk Willibrod Slaa, wachambuzi wa siasa wameeleza kwamba msimamo na harakati za Dk Slaa zinaendana na uongozi wa sasa, hivyo watashirikiana kwa karibu kusukuma ajenda ya chama. Dk Slaa ametangazwa kurejea Chadema leo Jumapili, Machi 23, 2025, wakati wa uzinduzi…

Read More

Bulls Eye Bells Mchezo wa Kasino Wenye Jackpot Ndani Yake

TUNAKULETEA safari ya kasino mtandaoni ya kusisimua sana ambayo imejaa bonasi za kasini za kumwaga. Jukumu lako ni kukusanya ushindi kadri iwezekanavyo, na ukifanikiwa, hautakosa mafanikio ya ajabu. Jisajili hapa ili usipitwe na mchezo huu. Bulls Eye Bells ni mchezo wa kasino ya mtandaoni unaoletwa kwenu na mtengenezaji wa michezo wa Playtech. Katika mchezo huu,…

Read More

Wahitakiwa wa uhaini wahukumiwa kifo Congo

  MAHAKAMA ya kijeshi nchini Congo (DRC), imewahukumu adhabu ya kifo watu 37, wakiwemo Wamarekani watatu, baada ya kuwatia hatiani kwa mashtaka ya kushirki katika jaribio la mapinduzi. Anaripoti Mwandishi Wetu kwa msaada wa DW. Washtakiwa hao, wengi wao wakiwa raia wa taifa hilo, lakini wakiwemo pia Muingereza, Mbelgiji na Mcanada, wana muda wa siku…

Read More

Alhamisi ya Kutafuta Kitoweo Imefika

Je unajua kuwa leo ndio siku nzuri ya wewe kuouna ukiwa na Meridinabte kwenye simu yako?. Mechi mbalimbali kuchezwa leo huku nafasi ya wewe kuondoka bingwa ikiwa mikononi mwako. Ligi kuu ya SAUDIA itaendelea leo hii ambapo AL Fateh atamenyana dhidi ya AL Wehda ambapo tofauti ya pointi kati yao ikiwa ni 3 pekee huku…

Read More

Kocha Tabora United akubali yaishe

KOCHA Mkuu wa Tabora United, Mzambia Simonda Kaunda amesema msimu huu kwao umeisha na hawana cha kupoteza tena, baada ya kikosi hicho juzi kukumbana na kichapo cha fedheha cha mabao 5-0, dhidi ya matajiri wa Jiji la Dar es Salaam, Azam FC. Kichapo hicho kimeifanya timu hiyo kufikisha mechi saba mfululizo za Ligi Kuu Bara…

Read More