Wahariri wahimizwa kulinda amani na masilahi ya Taifa

Dar es Salaam. Mwanadiplomasia Mwandamizi, Omar Mjenga, amewataka wahariri wa vyombo vya habari kuwa chimbuko la hoja na mijadala mipana kuhusu umuhimu wa kulinda amani na masilahi ya Taifa, hasa ya jamii inapotofautiana  kimtazamo. Akizungumza jijini Dar es Salaam leo Jumanne, Desemba 23, 2025, wakati akiwasilisha nasaha na uzoefu wa wazee, katika semina ya wahariri…

Read More

KIKWETE AMFIKISHIA ABIY UJUMBE MAALUM WA RAIS SAMIA

****** Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete amewasilisha ujumbe Maalum wa Rais wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa Waziri Mkuu wa Ethiopia, Dkt. Abiy Ahmed. Ujumbe huo umewasilishwa Ikuku jijini Addis Ababa April 11, 2025. Mhe. Kikwete pia aliwasilisha Salamu za Rais Samia ambazo zilisisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiono wa kidiplomasia kati…

Read More

Makada wa CCM Ileje mtegoni

Songwe. Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Ileje, Mkoani Songwe, kimesema kitawafikisha kwenye vikao vya maadili ya chama hicho makada wanaojipitisha kwa lengo la kutaka nafasi za ubunge na udiwani kabla ya wakati. Makada hao watafikishwa kwenye vikao vya kamati ya maadili kwa utaratibu utakaohusisha upokeaji wa tuhuma dhidi yao wanaokiuka miongozo ya chama hicho,…

Read More

Mwili wa Msuya wafikishwa nyumbani kwake Dar, kuagwa kesho

Dar es Salaam. Mwili wa Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya umewasili nyumbani kwake, Upanga, Dar es Salaam ambako utahifadhiwa hadi kesho Mei 11, 2025 utakapoagwa katika viwanja vya Karimjee. Shughuli hiyo ya kuupokea mwili imefanyika leo Mei 10, 2025 ikiongozwa na Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa na kushuhudiwa na waombolezaji mbalimbali waliofika msibani kutoa pole…

Read More

Kituo cha Afya Gumanga chafanya upasuaji mkubwa wa kwanza

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Kituo cha Afya cha Gumanga kilichopo kata ya Gumanga Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama kimefanikiwa kufanya upasuajia mkubwa wa kwanza wa dharura kwa mama mjamzito toka kufunguliwa kwake. Akizungumza mara baada ya upasuaji huo, Mganga Mkuu wilaya ya Mkalama, Dk. Solomon Michael amesema upasuaji huo umefanyika Julai 01,2024 chini ya…

Read More