Mnigeria afunguka dili la Simba

KIUNGO mkabaji wa Rivers United, Mnigeria Augustine Okejepha ameeleza dili lake la kujiunga na Simba, huku akisisitiza shauku yake kubwa ni kucheza soka la Tanzania licha ya kuwa na ofa kutoka klabu zingine nje ya nchi hiyo. Akizungumza na Mwanaspoti kutoka Nigeria, Okejepha amesema ni kweli wako katika mazungumzo na viongozi wa Simba, lakini bado…

Read More

AHSANTENI SANA WANANCHI KWA KUTHAMINI HUDUMA YA POLISI

  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Augustino Senga Julai 01, 2024 alikagua Mradi wa Ujenzi wa kituo cha kata ya Mbangala kilichopo wilaya ya Songwe ambacho kimejengwa kwa nguvu ya wananchi wa kata hiyo na ujenzi wake bado unaendelea mpaka sasa kituo hicho kimeghalimu kiasi cha shilingi Milioni…

Read More

Ajali mbaya yatokea Geita usiku wa kuamkia leo

Ajali mbaya iliyohusisha Magari Mawili ikiwemo Gari la Abiria (Basi) lenye namba za usajili T. 963 DSR na Gari aina ya Kluger T. 425 DQE zimegongana uso kwa uso katika Kata ya Mponvu , Halmashauri ya Mji Geita na kupelekea Mtu 1 kufariki Dunia na wengine 10 kujeruhiwa usiku wa kuamkia leo na wengine kujeruhiwa….

Read More

TUMEJIZATITI KUPUNGUZA CHANGAMOTO KATIKA SEKTA YA ELIMU*

……….. WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imejizatiti katika kupunguza changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi zikiwemo za sekta ya elimu Ameyasema hayo leo (Jumatatu, Mei 19, 2025) wakati akizungumza na wananchi katika mikutano wa hadhara iliofanyika Sengerema mjini na Buchosa wilaya ya Sengerema akiwa…

Read More

Hii hapa sababu bei ya nyama kupaa Tanzania

Dar es Salaam. Wakati uzalishaji wa nyama nchini ukiongezeka kwa asilimia 42.8 kati ya mwaka 2020 hadi 2024, soko la uhakika limetajwa kuwa sababu ya ukuaji huo. Ripoti ya Takwimu Msingi za Tanzania zinazotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) 2024, inaonesha kuwa uzalishaji wa nyama ulitoka tani 738,166 mwaka 2020 hadi kufikia tani…

Read More

Polisi afariki dunia kwa kugongwa na lori akiwa kwenye pikipiki

Babati. Askari polisi wa Kituo cha Kibaya wilayani Kiteto Mkoa wa Manyara, Geogre Mwakambonjo (40) amefariki dunia baada ya kugongwa na lori alipokuwa amepanda kwenye pikipiki. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP) Ahmed Makarani  amesema tukio hilo limetokea leo Jumanne Desemba 24 mwaka 2024. Kamanda Makarani ameeleza kuwa askari polisi…

Read More