JUKWAA la Tatu la Utekelezaji wa Ushirikishwaji Watanzania Sekta ya Madini kufanyika Mei jijini arusha

 JUKWAA la Tatu la Utekelezaji wa Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini litafanyika Mei 22 hadi 24, 2024 katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Arusha International Conference Centre (AICC). Jukwaa hilo linafanyika kila mwaka limeandaliwa na Serikali kupitia Tume ya Madini chini ya Wizara ya Madini  lina lengo la  kukutanisha wadau mbalimbali katika…

Read More

Siri ubora wa Guede | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Joseph Guede amezungumzia mambo manne yaliyomrejesha kwenye fomu haraka, huku akiweka wazi mipango yake msimu ujao. Guede aliyetua Jangwani katika dirisha dogo la usajili lililopita, awali alionekana kuwa na mwanzo mgumu katika kikosi cha kocha Miguel Gamondi, lakini kadri muda unasonga ameonekana kubadili upepo kiasi cha kuwazidi kete mastraika Clement Mzize na…

Read More

DAWASA yamaliza kero ya maji Nyakahamba iliyodumu kwa miaka 5

Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imekamilisha utekelezaji wa mradi wa kuongeza msukumo wa maji kwenye kitongoji cha   Nyakahamba Kata ya Kerege  Wilaya ya Bagamoyo na kuwezesha upatikanaji wa huduma kwa wakazi takribani 250. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akizungumzia utekelezaji wa mradi huo, Meneja wa Mkoa wa DAWASA…

Read More

NACONGO WAANZA MCHAKATO UCHAGUZI WA VIONGOZI WAO

  DAR ES SALAAM  Kamati ya Mpito ya Kuratibu Uchaguzi wa Baraza la Taifa la Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NACONGO), imetoa wito kwa viongozi na wanachama wa Mashirika hayo, kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika Baraza hilo kuanzia ngazi ya Wilaya, Makundi Maalum, Mkoa hadi Taifa. Wito huo ulitolewa Mei 16,2024 Jijini Dar es…

Read More

Ntibazonkiza anatamba tu Burundi | Mwanaspoti

Kiungo wa Simba, Saido Ntibazonkiza ameendelea kuwa lulu katika kikosi cha timu ya taifa ya Burundi baada ya kujumuishwa katika kundi la wachezaji 21 watakaotumika kwa mechi mbili za kuwania kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Kenya na Shelisheli mwezi ujao. Ntibazonkiza ni miongoni mwa nyota wawili pekee kutoka Tanzania waliojumuishwa kwenye kikosi hicho cha…

Read More

WADAU WA MADINI KUKUTANA JIJINI ARUSHA

_Na Vicky Kimaro, Tume ya Madini_ JUKWAA la Tatu la Utekelezaji wa Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini litafanyika Mei 22 hadi 24, 2024 katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Arusha International Conference Centre (AICC). Jukwaa hilo linafanyika kila mwaka limeandaliwa na Serikali kupitia Tume ya Madini chini ya Wizara ya Madini lina…

Read More

Mbunge ashauri kuepuka mzigo wa wahamiaji haramu

Dodoma. Serikali imesema ushauri wa kuwarejesha papo kwa papo wahamiaji haramu wanapokamatwa utazingatiwa katika mapitio yanayoendelea ya Sheria ya Uhamiaji. Naibu Waziri wa Mambo Ndani ya Nchi, Daniel Sillo ameyasema hayo leo Mei 17,2024 wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu, Mwasi Kamani. Mwasi amehoji kama Serikali haioni haja ya kupitia sera, sheria, kanuni…

Read More

Marekani yakamilisha bandari ya misaada kwenye Pwani ya Gaza – DW – 16.05.2024

Kamandi Kuu ya jeshi la Marekani, CENTCOM, imesema Alhamisi kwamba bandari ya muda inayoelea itakayorahisisha kuingizwa misaada imekamilika kwenye pwani ya Ukanda wa Gaza. Kwenye mtandao X,  zamani twitter, Kamandi hiyo ya jeshi la Marekani imesema malori yaliyobeba msaada wa kibinadamu yanatarajiwa kuanza kusonga mbele kwenye fukwe za pwani hiyo katika siku zijazo na kwamba…

Read More