Simba yapiga hesabu kali kwa Waarabu

KIKOSI cha Simba kikiwa kamili gado, kimetua salama huko Algeria, huku benchi la ufundi la timu hiyo pamoja na wachezaji wakiwa na hesabu moja tu dhidi ya Waarabu watakaovaana nao wikiendi hii nchini humo. Simba inatarajiwa kuwa wageni wa CS Constantine inayoongoza msimamo wa Ligi Kuu ya Algeria, katika mechi ya Kundi A ya Kombe…

Read More

TMDA yanasa vifaatiba, dawa bandia

Tabora. Mamlaka ya Dawa na Vifaatiba nchini (TMDA) Kanda ya Magharibi,  imefanikiwa kukamata dawa na vifaa tiba ambavyo havijasajiliwa vyenye thamani zaidi ya Sh150  katika kipindi cha kuanzia Januari 2023 hadi Agosti 2024. Akizungumza na Mwananchi Agosti 30, Meneja wa kanda hiyo, Christopher Migoha amesema oparesheni zimekuwa zikifanyika kwa kushtukiza, jambo lililowafanya wanase dawa na…

Read More

Haya hapa yanayomsubiri Dk Migiro ofisi ya Katibu Mkuu

Dodoma/Dar. Wakati Chama cha Mapinduzi (CCM) kikimtangaza Balozi Dk Asha-Rose Migiro kuwa Katibu Mkuu wake mpya, wadau mbalimbali wametaja majukumu makubwa yanayomsubiri kiongozi huyo, likiwamo la kuirejesha imani ya chama hicho kwa wanachama na wananchi wasio wanachama. Miongoni mwa mambo yanayobainishwa kama kibarua kikubwa kwa Dk Migiro ni namna ya kwenda sambamba na kasi ya…

Read More

Simba yaonyesha ukubwa Morocco | Mwanaspoti

CASABLANCA: SIMBA haijasafiri kinyonge kutoka Dar es Salaam kuja hapa Casablanca, Morocco ambako itakaa kwa muda kisha kwenda Berkane ambako Jumamosi ya Mei 17, 2025 itashuka Uwanja wa Manispaa ya mji wa Berkane, kuvaana na RS Berkane katika mechi ya kwanza ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Simba itavaana na Berkane ikiwa ni mechi ya…

Read More

Mwinyi amjibu Othman tuhuma za ufisadi, deni la Taifa

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amejibu tuhuma zilizotolewa na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman kuhusu ufisadi na ongezeko la deni la taifa lisiloendana na kazi zinazofanyika. Rais Mwinyi amejibu madai hayo leo Januari 3, 2025 wakati akifungua kituo cha mabasi cha Kijangwani, akisema licha ya maendeleo yanayofanyika, wapo watu (hakuwataja) wanataka…

Read More

Dube apewa sharti Yanga SC

WAKATI Prince Dube namba zake zikionekana kuwa nzuri katika kucheka na nyavu ndani ya Yanga, kocha mkuu wa timu hiyo, Miguel Gamondi amempa sharti ambalo anaamini kama mshambuliaji huyo akilifuata, basi atakuwa hatari zaidi mbele ya lango la wapinzani. Dube ambaye amejiunga na Yanga dirisha kubwa la usajili msimu huu baada ya kuvunja mkataba ndani…

Read More

Kagera Sugar inataka wapya 10

KAGERA Sugar inajipanga kuboresha kikosi chake kwa kupitisha panga kali ili kufanya vizuri msimu ujao, huku benchi la ufundi chini ya Fredy Felix ‘Minziro’ likipendekeza kuletewa wachezaji wapya 10. Timu hiyo ilimaliza katika nafasi ya 10 msimu ulioisha ikivuna pointi 34, huku ikilazimika kufanya maajabu katika mchezo wa mwisho kwa kushinda ugenini dhidi ya Singida…

Read More