
Majaliwa Aaga Ubunge Ruangwa Amshukuru Rais Samia – Global Publishers
WAZIRI MKUU, na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Kassim Majaliwa, Akizungumza na wajumbe wa kamati ya Siasa ya Mkoa na Wilaya ya Ruangwa WAZIRI MKUU, na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Kassim Majaliwa leo Julai 2, 2025 ametangaza rasmi kutokugombea tena ubunge wa jimbo la Ruangwa baada ya kulitumikia jimbo hilo kwa…