Ukweli kuuzwa kwa Alliance FC ni huu

BAADA ya uwepo wa taarifa za timu ya wavulana ya Alliance FC ya jijini hapa kuuzwa mkoani Arusha, uongozi wa klabu hiyo umeibuka na kutolea ufafanuzi huku ukiwatoa wasiwasi mashabiki wake. Timu hiyo ambayo iliponea chupuchupu kushuka daraja kutoka First League msimu uliopita baada ya kusuasua kwa kile kinachotajwa ni ukata unaoikabili, hivi karibuni zimeibuka…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Uchaguzi ni mchezo wa makosa

Kwenye mchezo wa ndondi bondia anaweza kufanya kama aliyejisahau, akakuletea uso usiokingwa na mikono yake. Mbinu hii wenyewe wanaiita “kuuza sura.” Ukiamini kuwa kajisahau, utaingia kichwa kichwa, lakini ghafla atakuwahi na kukumaliza. Mabondia wengi wameshaumizwa kwa mtindo huu, lakini mabondia wajanja hupuuza chambo hicho na kuendelea na pambano kwa kuzingatia kanuni za mchezo. Wakati mwingine…

Read More

Bado Watatu – 2 | Mwanaspoti

USIKU ule nilirudi nyumbani nikiwa na fadhaa. Asubuhi yake ndio siku ambayo mkuu wangu wa kazi alinikabidhi cheo changu kipya kilichotoka makao ya polisi jijini Dar na kunivalisha tepe za uinspekta.Akili yangu ilikuwa haipo pale, ilikuwa kwa Hamisa. Hata baada ya kupata cheo hicho sikuonekana kuwa mwenye furaha kamili.Nilikabidhiwa ofisi mpya na majukumu mapya huku…

Read More

JICHO LA MWEWE: Maisha yameenda kasi sana kwa Djuma Shabani

NYUMA ya pazia katika stori ambayo inasisimua sana ni namna ambavyo Yanga walimpata mchezaji anayeitwa Djuma Shabani kutoka AS Vita ya DR Congo. Yanga walilazimika kupitia njia nyingi za panya kumpata Djuma. Alikuwa keki ya moto kwelikweli. Ubora wake kule pembeni katika beki ya kulia pale AS Vita ikaonekana Djuma hawezi kucheza mpira Tanzania. Kumbuka…

Read More

ULEGA ATAKA WAZAWA WAPEWE KIPAUMBELE UJENZI WA BARABARA

Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega amewataka Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), kuhakikisha unatoa kipaumbele kwa vijana wazawa katika ujenzi wa miradi ya barabara inayoendelea nchini ili kupata ajira, kukuza ujuzi na uchumi kwa watanzania. Akizungumza na wananchi wa Kata ya Ndungu wilayani Same katika hafla ya kumkabidhi Mkandarasi China Communication Construction Company (CCCC), anayejenga barabara…

Read More