
Ukweli kuuzwa kwa Alliance FC ni huu
BAADA ya uwepo wa taarifa za timu ya wavulana ya Alliance FC ya jijini hapa kuuzwa mkoani Arusha, uongozi wa klabu hiyo umeibuka na kutolea ufafanuzi huku ukiwatoa wasiwasi mashabiki wake. Timu hiyo ambayo iliponea chupuchupu kushuka daraja kutoka First League msimu uliopita baada ya kusuasua kwa kile kinachotajwa ni ukata unaoikabili, hivi karibuni zimeibuka…