WAJASIRIAMALI 400 KUKUTANA UDSM KUCHOCHEA UCHUMI JUMUISHI

:::::::: Na Mwandishi wetu Dar es dsalaam  Wajasiriamali wapatao 400 kutoka sehemu mbalimbali nchini wanatarajiwa kushiriki katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wajasiriamali wa Biashara Ndogo na za Kati, yatakayofanyika Juni 27, mwaka huu, katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), yakiwa na lengo la kuongeza mchango wa sekta hiyo katika kukuza uchumi…

Read More

Cheche amrithi Kijuso Cosmopolitan | Mwanaspoti

MABINGWA wa zamani wa soka nchini, Cosmopolitan imefikia uamuzi wa kumpa mkataba wa miezi sita aliyekuwa kocha wa Azam FC, Idd Nassor ‘Cheche’, ikiwa ni wiki moja tu tangu wamtimue Mohamed Kijuso kutokana na mwenendo mbaya ambao timu hiyo imekuwa nao msimu huu. Cosmo iliwahi kutwaa ubingwa wa Ligi ya Bara mwaka 1967 na inapambana…

Read More

Besigye ashtakiwa mahakama ya kijeshi kwa njama za kulipua kambi

Kampala. Mwanasiasa mkongwe wa upinzani wa Uganda, Dk Kizza Besigye aliyetoweka Nairobi nchini Kenya Jumamosi na baadaye kudaiwa kutekwa, ameibukia kizimbani kwenye mahakama ya kijeshi nchini Uganda. Besigye amefikishwa mahakamani jijini Kampala leo Jumatano, Novemba 20, 2024, na kusomewa mashtaka kadhaa, likiwemo kosa la kumiliki bunduki kinyume cha sheria. Pia, anakabiliwa na tuhuma za kufanya…

Read More

Dk Biteko: Tunajivunia mchango wa viongozi wa dini

Geita.Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema Serikali itaendelea kushirikiana na taasisi za dini ili kuchagiza maendeleo na ustawi wa wananchi. Dk Biteko amesema hayo leo Jumapili Agosti 17, 2025 wakati akimwakilisha Makamu Rais, Dk Philip Mpango katika maadhimisho ya miaka 125 ya Ukristo na Uinjilishaji katika Parokia ya Kome, Jimbo…

Read More

BoT yaikana LBL, maofisa wake kuchukuliwa hatua

Dar es Salaam. Benki kuu ya Tanzania (BoT) imesema haijawahi kufanya mazungumzo wala kutoa leseni ya kuruhusu kampuni ya Leo Beneath London (LBL) kufanya shughuli zake nchini kama taarifa za mitandaoni zinavyosema. BoT imetoa taarifa hiyo wakati tayari watu 38 wamekamatwa na Jeshi la Polisi kutoka maeneo tofauti nchini kwa kujihusisha na kampuni hiyo katika…

Read More

Mtumishi Hanang atupwa jela miaka 20 kwa wizi wa Sh3.5 milioni

Hanang’. Aliyekukuwa mtumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ mkoani Manyara, Petro Muray amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela, baada ya kupatikana na hatia ya ubadhirifu wa mali ya umma.  Pamoja na adhabu hiyo, Muray ametakiwa kurejesha Sh3.5 milioni alizoisababishia hasara halmashauri hiyo. Muray aliyekuwa mkusanya mapato kwa kutumia mashine ya POS wa halmashauri hiyo,…

Read More

PUNDA ANA HAKI KAMA WANYAMA WENGINE- SERIKALI

Dkt. Shaban Tozzo,  mratibu wa shughuli ya Sherehe ya Maadhimisho ya siku ya Punda Duniani  yaliyofanyika Kitaifa katika kijiji cha Chambalo, Wilaya ya Chemba, Mkoani Dodoma akimtibu Kidonda Punda ikiwa ni mmoja wapo ya shughuli zilizofanyika katika siku hiyo, kushoto ni  Dkt. Charles Bukula Mtaalamu wa Mifugo kutoka INADES-Formation Tanzania Naibu Katibu Mkuu Wizara ya…

Read More