
KOCHA SIMBA ATUMA SALAM YANGA – MWANAHARAKATI MZALENDO
UKISEMA ametuma salam kwa Yanga utakuwa sahihi baada ya Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids kusema anaamini kikosi chake kitapata mafanikio makubwa msimu ujao wa 2024/25. Simba inayonolewa na Fadlu kwa mara ya kwanza siku ya Simba Day ilionekana hadharani ikicheza mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya APR FC baada…