Kikwete alivyobadili upepo ushindi wa Profesa Janabi

Dar es Salaam. Ushindi wa Profesa Mohamed Janabi katika kinyang’anyiro cha nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kanda ya Afrika, si tu umeandika historia mpya kwa Tanzania, bali pia umefungua ukurasa mpya wa mafanikio ya taifa katika majukwaa ya kimataifa. Katika ushindi huu wa kishindo, yapo mafumbo ya uongozi, diplomasia na mshikamano…

Read More

UN inazindua rufaa ya $ 6 bilioni Sudan, kama njaa inavyoshikilia – maswala ya ulimwengu

“Raia (ni) wanalipa bei ya juu zaidi, kuweka ganda, ndege (ni) kuendelea bila kuharibiwa, kuwauwa na kuwajeruhi raia, kuharibu na kuharibu miundombinu muhimu, pamoja na hospitali,” alisema Mratibu wa misaada ya dharura Tom Fletcher. “Janga la ghasia za kijinsia,” Alionya, na kuongeza hiyo Watoto wanauawa na kujeruhiwahuku kukiwa na ripoti za kuongezeka kwa mapigano huko…

Read More

FCC yataka Wajasiriamali na Wafanyabiashara kufungasha bidhaa zao kwa ubora

Mkurugenzi Mkuu wa FCC William Erio akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na Wakulima,Wafugaji pamoja na Wavuvi  kutumia Pembejeo zenye wakati alipotembelea Mabanda mbalimbali  kwenye Maonesho ya Kilimo Kitaifa Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma Katika kulinda ubandia wa bidhaa na kuua mitaji Na Chalila Kibuda ,Dodoma Mkurugenzi Mkuu Tume ya Taifa…

Read More

Wenye ulemavu waongezeka elimu ya juu, Shivyawata yasema…

Dar es Salaam. Kuimarika kwa huduma jumuishi kwa wanafunzi wenye uhitaji maalumu kumetajwa kuwa sababu ya ongezeko la wanafunzi hao wanaofika elimu ya juu nchini. Hilo limeenda sambamba na uwekezaji uliofanywa katika maeneo mbalimbali, hali inayochochea kuondoa ugumu wa ujifunzaji na vikwazo vilivyokuwapo. Takwimu za Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) zinaonesha kuwa idadi ya…

Read More

Simba yaifuata Namungo bila Benchikha

KIKOSI cha Simba kimewasili kutoka Zanzibar ambako kimetwaa taji la sita la Muungano na kuunganisha moja kwa moja kuifuata Namungo tayari kwa mchezo wa ligi utakaochezwa Jumanne. Lakini pia gazeti hili limepenyezewa kuwa kocha wa fitness (utimamu) pia hayupo kwenye msafara wa kikosi cha timu hiyo ikielezwa kuwa anaondoka sambamba na Benchikha ambaye alikuja naye….

Read More

WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA MAZISHI YA SPIKA MSTAAFU NDUGAI

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiweka shada la maua kwenye kaburi la Spika Mstaafu na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai katika mazishi yaliyofanyika katika kijiji cha Msunjulile Kongwa, Mkoani Dodoma, Agosti 11, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipomwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye mazishi ya Spika…

Read More