Chalamila awapa Ma-DC mbinu ya kutumia gia na AC akiwakabidhi magari
Dar es Salaam. Wakuu wa Wilaya ya Ubungo na Kigamboni wamekabidhiwa magari mapya aina ya Land Cruzer Prado yenye thamani ya Sh200 milioni kila moja huku wakipewa mbinu za namna ya kutumia viyoyozi vyake na gia. Magari hayo yamekabidhiwa leo Jumatatu Septemba 22, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, katika…