Unayopaswa kufahamu kuhusu asili ya makalio makubwa

Dar es Salaam. Kwa baadhi ya wanawake, urembo ni pamoja na kuwa na makalio makubwa, hali ambayo imekuwa kama kipimo kipya cha mvuto wa mwili. Wapo wanaoamini kuwa umbo hilo linavutia zaidi na kuongeza kujiamini, hasa katika zama hizi ambazo mitandao ya kijamii imetawala taswira ya urembo. Ni kutokana na hilo, wapo waliofikia hatua ya…

Read More

TDI kupanda miti 1,500, kuchimba kisima shule ya Nyamilama

Na Mwandishi wetu, Mwanza KATIKA kuhakikisha wanakabiliana athari za mabadiliko ya tabianchi, Shirika la Together Development Initiative (TDI) lililopo Nyakato jijini Mwanza limeamua kupanda miti 1,500 ya matunda, kivuli, mbao na dawa katika shule ya msingi Nyamilama wilayani Magu na kuchimba kisima cha maji. Miti hiyo itapandwa katika shule hiyo iliyopo kijiji cha Lugeye kata…

Read More

Mgogoro wa Israel, Iran na hesabu za Marekani

Vita au mgogoro wa Iran na Israel, kama unavyoitwa “Iran – Israel proxy conflict au Iran – Israel Cold War”, zipo tafsiri mbalimbali zinatolewa. Vinatazamwa vyanzo vya karibu, inatazamwa historia. Binafsi, namtazama Rais wa Marekani, Donald Trump. Usiku wa Alhamisi (Juni 12, 2025), kuamkia Juni 13 (Ijumaa), Israel iliishambulia Iran, shabaha ikawa maeneo ya kijeshi…

Read More

JUKWAA LA NNE LA UTEKELEZAJI WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI LILETE MABADILIKO -OLLAL

  MWANZA Wadau wa madini nchini wametakiwa kutumia Jukwaa la Nne la Utekelezaji wa Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta la Madini kama kichocheo cha mabadiliko katika Sekta ya Madini hasa kwenye eneo la ushirikishwaji wa watanzania katika Sekta ya Madini  katika eneo la ajira na utoaji wa huduma kwenye migodi ya madini kama vile  usambazaji…

Read More