RC MANYARA AAGIZA SOKO JIPYA KATESH LIANZE KUTUMIKA.

Na John Walter -Hanang’ Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga ameiagiza Halmashauri ya wilaya ya Hanang’ kukamilisha haraka taratibu zote ili soko jipya lianze kutumiwa na wafanyabiashara. Aidha,ameagiza shughuli katika soko hilo kuanza mara moja kabla ya siku ya Ijumaa Mei 24, 2024 ili kutoa huduma kwa Wananchi na kuchochea uchumi wa wafanyabiashara, Halmashauri…

Read More

EXIM Bank, Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania wapanda miti na kuchangisha damu  – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa benki ya EXIM, Stanley Kafu (aliyeshikilia kipaza sauti), akitoa maelezo kwa Dkt. Dotto Biteko, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati (wa tatu kutoka kushoto), kuhusu mipango ya EXIM alipotembelea banda la benki hiyo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Msalaba Mwekundu Duniani yaliyofanyika tarehe 11 Mwezi…

Read More

Mbangula naye anajishangaa | Mwanaspoti

WAKATI wadau na mashabiki wakijiuliza kasi ya straika wa Tanzania Prisons, Samson Mbangula kupungua, mwenyewe amesema naye anashangaa kwanini hafungi tangu alipoifunga Simba. Mbangula alikuwa na muendelezo mzuri wa kufunga mabao lakini tangu amefunga mabao mawili dhidi ya Simba, Machi 6 mwaka huu wakati Tanzania Prisons iliposhinda 2-1, hajaingia tena wavuni. Staa huyo ambaye ni…

Read More

Wanasiasa hawasaidii mchakato wa Katiba mpya

Seneta wa jimbo la Busia, nchini Kenya, Okiya Okoiti Andrew amesema Tanzania haiwezi kupata Katiba mpya kwa kuwategemea wanasiasa pekee bali kila mwananchi anapaswa kushiriki kikamilifu kuidai. Anaripoti Salehe Mohamed, Zanzibar … (endelea). Kauli hiyo ameitoa leo Alhamisi katika mkutano wa demokrasia wa mwaka 2024 unaofanyika katika hoteli ya Golden Tulip Zanzibar, ambapo amesema Kenya…

Read More