ACT yaomboleza msiba wa Abass Mwinyi, yasitisha kampeni

Unguja. Chama cha ACT-Wazalendo kimesitisha mkutano wa hadhara na ratiba zingine za kampeni zilizopangwa kufanyika leo Alhamisi Septemba 25, 2025 ili kuomboleza msiba wa Abass Ali Mwinyi. Abass ambaye ni kaka mkubwa wa Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amefariki dunia leo Septemba 25 katika hospitali ya Lumumba mjini Unguja na anatarajiwa kuzikwa kesho…

Read More

ZIFF, EU WALETA FILAMU TANZANIA BARA 2024

Na. Andrew Chale, Dar es Salaam TAMASHA la Kimataifa la filamu za Nchi za Majahazi (Zanzibar International Film Festival-ZIFF) kwa kushirikiana na Umoja wa Ulaya (EU), Nchini wametangaza rasmi uoneshaji wa filamu katika baadhi ya Mikoa minne ya Tanzania Bara katika Vyuo Vikuu na vituo vya Utamaduni wa Nchi Wanachama hapa nchini program inayofahamika  ZIFF…

Read More

Baleke ndo basi tena Yanga

SIKU chache baada ya Mwanaspoti kuweka bayana kwamba straika wa Yanga, Mkongomani Jean Baleke amekalia kuti kavu katika kikosi hicho, sasa imethibitishwa kwamba ndoa ya pande hizo mbili imeisha baada ya kukabidhiwa barua yenye maumivu akisitishiwa mkataba wake wa mkopo akitokea TP Mazembe. Tayari klabu hiyo imeanza msako wa kuleta mashine mpya kuziba nafasi ya…

Read More

NEMC yataja sababu ugumu kudhibiti mifuko ya plastiki

Dodoma. Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limesema changamoto kubwa katika utekelezaji wa udhibiti wa matumizi ya mifuko ya plastiki nchini, ni kutokana na ukosefu wa mamlaka kamili ya kisheria. Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dk Immaculate Semesi, wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya baraza…

Read More

Ilanfya majanga, nje wiki mbili

MSHAMBULIAJI wa JKT Tanzania, Charles Ilanfya yamemkuta baada ya kuelezwa atalazimika kuwa nje ya uwanja kwa muda wa wiki mbili hadi uvimbe wa goti alionao upungue ndipo aanze vipimo ili kugundua tatizo linalomsumbua baada ya kuumia walipocheza dhidi ya Azam, Agosti 28, kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Ilanfya alisema baada ya kupata maumivu goti…

Read More

Wanasheria Tanzania wapewa ujuzi kukabili uhalifu mtandao

Dar es Salaam. Ili kuimarisha utaalamu na mbinu za kisheria katika kukabiliana na uhalifu wa mtandao, Serikali inashirikiana na Urusi kubadilishana uzoefu na elimu juu ya masuala hayo. Katika kufanikisha hilo, wataalamu kutoka Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Urusi wamewasili nchini na kutoa mafunzo kwa wanafunzi na wanataaluma ya sheria kuhusu masuala hayo. Ushirikiano…

Read More

Hafidh: Mtibwa Sugar ni suala la muda Ligi Kuu

STRAIKA wa Mtibwa Sugar, Raizin Hafidh amesema siri ya kung’ara kwake kwenye Championship ni ushindani wa namba kikosini huku akielezea kuwa timu hiyo kurejea Ligi Kuu ni suala la muda tu. Hafidh aliyewahi kutamba na timu kadhaa za Ligi Kuu ikiwamo Coastal Union, Dodoma Jiji na Gwambina, ameonekana kuibeba zaidi Mtibwa Sugar akiipa matokeo mazuri…

Read More