Mikoa sita vinara wizi wa mtandaoni hii hapa

Dodoma. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, ametaja mikoa sita yenye matukio mengi ya wizi wa kimtandao. Nape ameitaja mikoa hiyo bungeni leo Mei 16, 2024 alipowasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/25. Ameliomba Bunge kuidhinisha Sh180.92 bilioni. Nape amesema Serikali kupitia Mamlaka ya…

Read More

MFANYAKAZI HODARI WIZARA YA FEDHA 2024 AKABIDHIWA CHETI

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha. Bi. Jenifa Christian Omolo (kushoto) akiagana na Bw. Masoud Ndembo, kutoka Idara ya Usimamizi wa Mifumo ya Fedha na Huduma za Tehama, ambaye ni Mfanyakazi Hodari wa Wizara ya Fedha kwa mwaka 2024 baada ya kukabidhiwa Cheti, alipotembelewa nyumbani kwake jijini Dodoma. Kulia ni Katibu wa TUGHE Wizara ya…

Read More

Balua atoboa siri ya mashuti yake

UWEZO wa kupiga mashuti ya mbali, anaoonyesha winga wa Simba, Edwin Balua, nyuma ya pazia anafanya zoezi la kupiga mipira nje ya 18 ya uwanja kabla ya mechi. Katika stori za hapa na pale alizopiga na Mwanaspoti, Balua amesema akiwa mazoezini anapenda  kufunga kwa kupiga mashuti ya mbali, jambo linalomjengea kujiamini wakati wa mechi, kutokuogopa…

Read More

Hatifungani ya kijani ya Tanga uwasa yasajiliwa rasmi DSE

Hatifungani ya Kijani ya Miundombinu ya Maji Tanga inayosimamiwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanga (Tanga UWASA) imesajiliwa rasmi katika Soko la Hisa la Dar Es Salaam (DSE) katika hafla maalumu iliyofanyika Jijini Dodoma katika ofisi za Hazina baada ya mauzo ya Hatifungani hiyo kufanya vizuri kwa 103% zaidi ya lengo. Akizungumza…

Read More

Maji yanavyowatesa wakazi Buchosa | Mwananchi

Buchosa. Baadhi ya wananchi wa Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza wanaotumia kivuko cha Kome II wamelazimika kulipia Sh500 kubebwa mgongoni ili kufikishwa kwenye kivuko hicho baada ya gati kujaa maji. Kujaa kwa maji katika gati hilo ni matokeo ya kuongezeka kwa maji katika Ziwa Victoria kulikosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo tofauti yanayozunguka ziwa…

Read More

Watembea zaidi ya kilomita 10 kutafuta huduma za afya

Serengeti. Wakazi wa Kijiji cha Kenyamonta kilichopo Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, wanalazimika kutembea zaidi ya kilomita 10 kufuata huduma ya afya katika kijiji jirani cha Iramba kutokana na kijiji chao kutokuwa na kituo cha afya. Kutokana na hali hiyo, wakazi hao wamekuwa wakikumbana na changamoto mbalimbali ikiwemo vifo vya mama na watoto pamoja na…

Read More

Wanafunzi 194 Momba wapewa mimba ndani ya mwezi mmoja

Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo ameagiza kukamatwa ndani ya siku 21 kwa wanaume waliohusika kuwapa mimba wanafunzi 194 wa shule za msingi na sekondari katika Wilaya ya Momba mkoani Songwe na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.  Chongolo ameyasema hayo leo Mei 16, 2024 wakati wa ziara yake ya kikazi wilayani humo akikagua…

Read More