DABI YA KARIAKOO: Hoja mpya za wazee Yanga

KAMA unadhani Yanga wanatania juu ya tishio lao la kuigomea Dabi ya Kariakoo iliyopangwa Juni 15 basi utakuwa umekosea, baada ya wanachama wa matawi wakiongozwa na wazee wa klabu hiyo kutoa msimamo mzito jana wakiupiga mkwara uongozi. Wanachama hao waendelea kusisitiza kwa kusema; ‘HATUCHEZI’ huku wakitoa hoja mpya kwa mabosi wa klabu hiyo kama wanatakiuka…

Read More

RC James awataka wafanyabiashara kutumia kongamano kutangaza bidhaa

Iringa. Kongamano la Iringa Business Connect limefunguliwa rasmi leo Alhamisi Agosti 21, 2025 katika Viwanja vya Kichangani, Manispaa ya Iringa, likishirikisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wawekezaji na taasisi mbalimbali zinazotoa huduma kwa wafanyabiashara. ‎Akizungumza wakati wa ufunguzi wa kongamano hilo, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James amewataka wafanyabiashara kutumia vyema kongamano hilo kutangaza bidhaa na huduma…

Read More

Manyasi azigonganisha Singida BS, Mtibwa Sugar

BAADA ya msimu wa Ligi Kuu Bara kukamilika Juni 25, mwaka huu, timu zimeanza mipango ya kuimarisha vikosi kwa ajili ya msimu ujao ikiwemo kusajili wachezaji wapya na kuboresha maeneo yenye upungufu. Miongoni mwa hizo ni Mtibwa Sugar iliyopanda daraja na Singida Black Stars inayohitaji nguvu mpya kuelekea michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika –…

Read More

Mpinzani wa Simba CAF kujulikana Qatar

Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limetangaza tarehe ya droo ya robo fainali ya mashindano ya  Klabu Bingwa na Kombe la Shirikisho Afrika kwa timu zilizofuzu hatua hiyo msimu huu ambapo pia limepanga tukio hilo kufanyika Doha, Qatar. Baada ya kumaliza katika nafasi ya kwanza kwenye kundi A, la Kombe la Shirikisho Afrika, Simba inatarajia…

Read More

Cheki namba za Yanga zilivyoitesa Simba

ACHANA na Simba kukosa ubingwa kwa mara ya tatu mfululizo kuanzia msimu wa 2021/22, 2022/23 na msimu huu, lakini wana Msimbazi wamepitia nyakati ngumu zaidi kuanzia pointi hadi mabao ya kufunga mbele ya mabingwa, Yanga huku namba na ufanisi uwanjani pia vikiwa mtihani kwa Simba. Yanga imetwaa taji la 30 na la tatu mfululizo msimu…

Read More

Mabadiliko tabianchi yanavyowakimbiza jamii ya wafugaji

Arusha/Manyara. “Tulikuwa na ng’ombe watano na mbuzi 10. Ukame ulipozidi ng’ombe wote walikufa na kubakiwa na mbuzi watano pekee.”Ni kauli ya Helena Leiyan, mama wa watoto wanne aliyeachwa na mume wake tangu mwaka 2019. Helena, anayeishi katika Kijiji cha Terrat wilayani Simanjiro, Mkoa wa Manyara anasema hali ya ukame ilipozidi, mume wake aliuza mbuzi waliosalia…

Read More