Serikali yakana wagonjwa kubebwa kwenye matenga Tunduru

  WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa, amekanusha wagonjwa kusafirishwa kwa pikipiki wakiwa wamewekwa kwenye matenga kupelekwa hospitali, wilayani Tunduru. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Badala yake, Mchengerwa amesema mwaka jana serikali ilitoa magari 535 ya wagonjwa nchi nzima na wilaya hiyo…

Read More

Wafanyabiashara na Wawekezaji wa Tanzania na Iran wakutana

WAKATI Rais Samia Suluhu Hassan akiendelea kugonga hodi kwenye nchi zilizoendelea kiuchumi na kiteknolojia tayari Iran imemuitikia kwa kuja Tanzania na kufanya uwekezaji wa zaidi ya Dola za Kimarekani Milioni 333. Akifunga Kongamano la biashara na uchumi la siku nne kuanzia Oktoba 16 hadi leo Oktoba 19,2024 lililozikutanisha Tanzania na Iran, jijini Dar es Salaam,…

Read More

SERIKALI ITAENDELEA KUSIMAMIA USHINDANI NA KULINDA WALAJI

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo(Mb) amebainisha hatua ambazo Serikali inazichukua katika kuhakikisha inaendelea kusimamia ushindani wa haki na kuwalinda watumiaji wa bidhaa na huduma hapa nchini, kwa kutumia Sheria ya Ushindani Na.8 ya Mwaka 2003 ambayo inatarajiwa kufanyiwa marekebisho katika mkutano huu wa Bunge kwa lengo la kuongeza tija katika kumlinda…

Read More

Bocco namba hazidanganyi hadi JKT Tanzania

JOHN Bocco, mshambuliaji ambaye ameandika historia ya kipekee kwenye soka la Tanzania, anaendelea kuthibitisha uwezo wake akiwa na JKT Tanzania. Katika mechi dhidi ya Tabora United, alifunga mabao mawili na kuisaidia JKT kushinda mabao 4-2. Mabao hayo yamemfanya kufikisha 156 katika Ligi Kuu Bara na ndiye mfungaji bora wa muda wote. Kwa zaidi ya muongo…

Read More