Kambi ya Misri Fadlu aja na jipya

SIMBA jana ilicheza mechi ya mwisho ya kirafiki ikiwa kambini Misri, lakini kuna taarifa ya kushtusha baada ya kocha mkuu wa timu hiyo, Fadlu Davids kuwaambia mabosi wa klabu hiyo kwamba anahitaji mashine nyingine mpya ya kufungia usajili wa kikosi hicho. Simba imeshasajili wachezaji kama 10 hadi sasa wakiwamo sita wa kigeni, lakini kocha Fadlu…

Read More

Mwijage amkosha Maximo Kagame | Mwanaspoti

MIONGONI mwa wachezaji ambao kocha wa KMC, Marcio Máximo anavutiwa na uwezo wao kwenye kikosi hicho ni pamoja na Edson Erick Mwijage ambaye amepachika mabao mawili na kutoa asisti mbili katika mashindano ya Kombe la Cecafa Kagame. Mwijage ambaye ni usajili mpya wa KMC akitokea Kagare Sugar ambayo ilishuka daraja msimu uliopita, amehusika katika mabao…

Read More

Fahamu mambo ya kuzingatia, kuepuka unapokuwa mgonjwa

Dar es Salaam. Septemba 17 ya kila mwaka ni maadhimisho ya Siku ya Usalama wa Mgonjwa Duniani. Lengo la ni kuzingatia usalama wa mgonjwa kwa kuanzisha na kuimarisha mifumo inayotegemea sayansi, kuboresha usalama wa wagonjwa na ubora wa huduma za afya. Maazimio ya Mkutano wa Mkuu wa 72 wa Afya Duniani (WHA72.6)  uliofanyika mwaka 2019,…

Read More

Namna ya kumsaidia mtoto anayemaliza darasa la saba

Dar es Salaam. Wakati wanafunzi wa darasa la saba wakitarajia kufanya mitihani yao ya kumaliza elimu ya msingi Septemba 10 na 11 mwaka huu, wadau wameainisha njia nzuri ya kuishi nao kwa miezi mitatu ijayo. Kipindi hiki cha likizo kinatajwa kuwa fursa nzuri kwa wazazi na walezi kusaidia kukuza vipaji vya watoto wao, hivyo kupata…

Read More

DC MAYANJA:TANZANIA ITAJENGWA NA WATANZANIA WENYEWE

  Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Janeth Mayanja,akizungumza leo Septemba  26.09.2025 na timu ya maafisa kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) walipofika ofisini kwake kwa ajili ya kujitambulisha na kumtaarifu juu ya zoezi la kampeni ya elimu ya kodi mlango mlango wilayani humo. Na.Yahya Saleh-Chamwino “Hatuna nchi nyingine zaidi ya Jamhuri ya Muungano wa…

Read More