VIJIJI 60 NKASI KUNUFAIKA NA MRADI WA LTIP

Na. Magreth Lyimo, MLHHSD Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) imeendelea kuhakikisha inaongeza thamani katika ardhi za Watanzania ambapo katika Wilaya ya Nkasi, Mkoani Rukwa takribani vijiji 60 vitanufaika na mradi huo kwa kupangiwa matumizi ya ardhi ambapo mpaka sasa vijiji 45 matumizi…

Read More

WANA USALAMA WA ANGA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA ZANZIBAR

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema sekta ya utalii ina mchango mkubwa katika maendeleo ya uchumi wa nchi kupitia usafiri wa anga ambao ni kichochea kikuu cha ukuaji wa uchumi. Rais Dk.Mwinyi amesema hayo alipofungua Kongamano la sita la usafiri wa anga Jumuiya ya Afrika Mashariki katika…

Read More

Msimu wa pili tuzo za wanamichezo BMT Juni 9

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Msimu wa pili wa tuzo za wanamichezo bora za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) kwa mwaka 2023 , unatarajia kufanyika Juni 9, 2024, zikihusisha wanamichezo waliofanya vizuri Kimataifa ambapo  jumla ya vipengele 16 vitashindaniwa. Akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 15, 2024 jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa…

Read More