AKILI ZA KIJIWENI: Kijiwe kimembariki Yondani Pamba

IWE ni umri sahihi au sio sahihi, wote tunakubaliana kwamba Kelvin Yondani ‘Vidic’ ni mtu mzima hasa kwenye Ligi yetu ya Tanzania Bara ukilinganisha na mabeki wengi wa kati. Nyaraka zake mbalimbali zinaonyesha kuwa alizaliwa Oktoba 4, 1984 hivyo kwa sasa tayari ametimiza miaka 40 hivyo kiuhalisia wachezaji wengi wa Ligi Kuu ni wadogo zake…

Read More

Simba yaandika historia ya kibabe Tunisia

SIMBA imefanya unyama mwingi sana baada ya usiku wa leo kupata ushindi wa kwanza wa kihistoria katika ardhi ya Waarabu kwa kuichapa CS Sfaxien ya Tunisia kwa bao 1-0. Bao hilo pekee la dakika ya 34 lililowekwa kimiani na Jean Charles Ahoua, liliiwezesha pia Simba kupata ushindi wa kwanza ugenini katika michuano ya Kombe la…

Read More

Mikoa mitano kunufaika na mradi wa usalama wa chakula

Dodoma. Tanzania inatarajia kuanza utekelezaji wa mradi wa kuwawezesha wakulima wadogo unaolenga kuimarisha usalama na ustahimilivu wa athari za mabadiliko ya tabianchi, ili kuhakikisha usalama wa chakula unadelea kuwepo. Mradi huo wa miaka mitano (2024-2028) unaofahamika kama Nourish utatekelezwa nchini kupitia Shirika la Maendeleo la SNV Netherlands kwa kushirikiana na Farm Africa, ukilenga kuimarisha usalama…

Read More

SERIKALI KUWEKA MIKAKATI KWA VIJANA BALEHE KUFIKIA MALENGO YAO

 Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera ,Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi , akizungumza wakati akifungua mkutano wa wadau wanaotekeleza Afua za Vijana Balehe nchini (NAIA)kwa niaba ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum unaofanyika kuanzia 31 Oktoba hadi 01 Novemba ,2024 Mkoani Dodoma. Na.Alex Sonna, Dodoma. Serikali imejidhatiti kutatua…

Read More

WITO WA RAIS SAMIA WA KUONGEZA UZALISHAJI WA KILIMO GAIRO, ISHARA YA KUKUA KWA UCHUMI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi kubwa kwa wakazi wa Wilaya ya Gairo, akilenga kuboresha miundombinu na huduma za kijamii. Baada ya kuzindua Hospitali ya Wilaya ya Gairo, Rais Samia alieleza kuwa serikali imejizatiti kuboresha miundombinu ya umeme na maji. Kwa mfano, kituo kidogo cha umeme kilichojengwa Kongwa kitasambaza umeme hadi Gairo, na serikali…

Read More

Kitendawili, vita ya majimbo mapya

Dar/mikoani. Ingawa mgawanyo wa majimbo uliofanywa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) unahusishwa na mbinu ya kupunguza joto la ushindani katika baadhi ya majimbo, kitendawili kimebaki ni wapi kati ya mapya au yale ya zamani wabunge wanaoendelea wataenda kugombea. Wakati kitendawili hicho kikiendelea, joto la kisiasa linaendelea kupamba moto hata katika majimbo mapya,…

Read More

Huwel aja na gari la ubingwa wa dunia

GARI maalumu kwa ajili ya mashindano ya dunia (World Rally Championship) linatarajiwa kuwa kivutio kikubwa katika raundi ya tatu ya mbio za ubingwa wa Taifa zitakazochezwa Morogoro hivi karibuni. Dereva kutoka Iringa, Ahmed Huwel ndiye ataendesha gari hilo, Toyota GR Yaris ambalo ni ingizo la kisasa zaidi katika raundi hii inayobeba bango la Mkwawa Rally…

Read More