Vodacom kurejesha vifurushi kwa walioshindwa kuvitumia

Dar es Salaam. Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania PLC imeutangazia umma na wateja wake kurejesha huduma za kimtandao kikamilifu, ikieleza walioshindwa kutumia huduma ya intaneti watarejeshewa vifurushi vyao.  Kwa muda wa siku nne mfululizo nchini watumiaji wa huduma za mtandao walipata changamoto kutokana na kupungua ubora wa intaneti kulikosababishwa na kukatika nyaya za mkongo …

Read More

Hakuna aliye salama Ligi Kuu Bara

LIGI Kuu Bara inakwenda ukingoni huku ikibaki kati ya michezo mitatu hadi minne kwa baadhi ya timu ili kumaliza msimu huu, lakini mbali na bingwa kupatikana ambaye ni Yanga aliyebeba mara tatu mfululizo, kuna vita kubwa ipo katika nafasi ya kushuka daraja. Katika msimamo wa Ligi Kuu Bara kuanzia timu inayoshika nafasi ya tano hadi…

Read More

Gamondi, Nabi kuna ubabe unafikirisha | Mwanaspoti

HAKUNA ubishi juu ya kiwango bora kilichoonyeshwa na Yanga msimu huu na kufanikiwa kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ambao umechagizwa na wachezaji mbalimbali katika kikosi hicho akiwemo Kocha Mkuu, Miguel Gamondi, aliyerithi mikoba ya Nasrreddine Nabi aliyetimka baada ya msimu uliopita kumalizika. Gamondi, raia wa Argentina huu ni msimu wake wa kwanza kuifundisha Yanga na…

Read More

Mradi wa maji wa Same-Mwanga-Korogwe subira yavuta heri

Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma Waziri ameongoza ujumbe wa Wizara katika kufanya ukaguzi maendeleo ya Mradi wa Maji Same-Mwanga-Korogwe ambao kwasasa upo asilimia 88 za utekelezaji. Mhandisi Mwajuma amefanya ukaguzi katika eneo la chanzo na kujionea jinsi maji yanavyochukuliwa na kusukumwa hadi kwenye chujio la kuchuja maji na maji kusukumwa hadi katika tenki…

Read More

Nape aeleza Serikali inavyoshughulikia uhalifu mitandaoni 

Dodoma. Serikali imesema uhalifu mtandaoni umeendelea kupungua kutokana na hatua zinazochukuliwa kukabiliana nao. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema hayo bungeni leo Mei 15, 2024 akijibu swali la Mbunge wa Buhigwe, Kavejuru Felix. Mbunge huyo amehoji Serikali ina mikakati gani ya kukomesha wizi wa mtandaoni. Akijibu swali hilo, Nape amesema…

Read More

Gamondi: Nyie subirini, bado moja

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amesema walistahili kutwaa taji la Ligi Kuu, huku akisisitiza kwamba kituo kinachofuata ni Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC). Yanga wametwaa ubingwa wakiwa na mechi tatu mkononi baada ya kufikisha pointi 71 ambazo washindani wake Azam FC na Simba hata wakishinda mechi zao zote zilizobaki hawawezi kufikia. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More