DHL kufikia utoaji sifuri wa kaboni ifikapo 2050

   DHL Express, ambayo ndiyo kampuni kubwa zaidi ya usafirishaji duniani, imeelezea kujitolea kwake kufikia utoaji wa kaboni sifuri ifikapo mwaka 2050 katika jitihada zake za kufanya kazi katika mazingira yaliyo safi zaidi. Akizungumza wakati wa kifungua kinywa kwenye meza ya mazungumzo ya maofisa watendaji wakuu yaliyoandaliwa na DHL, Mkurugenzi wa Kanda wa Nchi za…

Read More

TANZIA: RAIS WA IRAN AFARIKI KWA AJALI

RAIS wa Iran Ebrahim Raisi (63,) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya helikopta waliyokuwa wakisafiria kutoka Kaskazini Magharibi mwa Nchi hiyo kuanguka AFP Reuters imeripoti. Ebrahim aliambatana na Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran Hussein Amirabdollahian pamoja na viongozi wengine ambao wote wamepoteza maisha katika ajali hiyo wakitokea katika shughuli za kikazi…

Read More

Utata kifo cha mfamasia hospitali ya Temeke

Dar es Salaam. Utata umeibuka kuhusu kifo cha aliyekuwa mfamasia katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Temeke, Magdalena Kaduma. Taarifa kuhusu kifo chake zimetolewa leo Desemba 7, 2024 na Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo, Dk Joseph Kimaro, bila kuelezo zaidi kuhusu sababu za kifo hicho. “Menejimenti na uongozi wa hospitali unatoa pole kwa ndugu,…

Read More

Kishindo cha Samia | Mwananchi

Dar/Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan amelihutubia Bunge la 12 akihitimisha shughuli zake kwa kuzungumzia mambo mbalimbali yaliyotekelezwa na Serikali yake, yakiwamo yanayohusu Uchaguzi Mkuu, Katiba mpya na maendeleo ya kiuchumi.   Samia katika hotuba ya leo Juni 27, 2025 iliyodumu kwa saa 2: 47 ametoa maelekezo kuhusu matukio ya watu kupotea na deni la Serikali….

Read More

Maagizo ya Taliban Yanazidisha Mgogoro kwa Wanawake wa Afghanistan, Kupiga Marufuku Kazi Zote za NGO – Masuala ya Ulimwenguni

Wanawake na wasichana wa Afghanistan sasa wanakabiliwa na vikwazo vikali, na fursa chache za kutoka nje ya nyumba zao. Credit: Learning Together. Jumanne, Januari 21, 2025 Inter Press Service Mwandishi ni mwandishi wa habari wa kike anayeishi Afghanistan, aliyefunzwa kwa usaidizi wa Kifini kabla ya Taliban kuchukua mamlaka. Utambulisho wake umefichwa kwa sababu za usalama…

Read More