Mahamat Deby anavyobeba mustakabali wa Chad

Kishindo cha Mei 10, mwaka huu kimewaacha wananchi wa Chad midomo wazi baada ya kutangazwa kwa Mahamat Idriss Deby Itno, maarufu kama Mahamat Kaka kuwa mshindi wa uchaguzi uliofanyika mapema mwezi huu. Matokeo ya uchaguzi huo yalitarajiwa kutangazwa Mei 21, hata hivyo yametangazwa mapema kuliko ilivyotarajiwa, jambo ambalo limeibua maswali na kuwafanya wananchi kuingia barabarani…

Read More

Mambo matano yaliyoipa Yanga ubingwa Bara 

KILICHOBAKI kwa Yanga ni sherehe tu za ubingwa wa Ligi Kuu Bara ambao imeutwaa Mei 13 baada ya kuifunga Mtibwa Sugar mabao 3-1, huku pia ikiwa na hesabu za kubeba Kombe la Shirikisho (FA) ambalo ipo katika nusu fainali itakayocheza Mei 19 dhidi ya Ihefu. Mashabiki wa Yanga kwa sasa wanatembea vifua mbele huku wakiwatambia…

Read More

Wapalestina na kumbukumbu ya miaka 76 ya Nakba – DW – 15.05.2024

Nakba, neno la Kiarabu linalomaanisha janga, ndilo lililotumika kuelezea masaibu ya Wapalestina kufurushwa kwa nguvu katika makaazi yao. Wapalestina 700,000 walifurushwa majumbani mwao wakati wa vita vya Israel na Waarabu mwaka 1948, vilivyofungua njia ya kuundwa rasmi dola la Israel. Baada ya vita hivyo, Israel ilikataa Wapalestina kurejea makwao, kwasababu hatua hiyo ingesababisha Wapalestina kuwa…

Read More

Cheki namba za Yanga zilivyoitesa Simba

ACHANA na Simba kukosa ubingwa kwa mara ya tatu mfululizo kuanzia msimu wa 2021/22, 2022/23 na msimu huu, lakini wana Msimbazi wamepitia nyakati ngumu zaidi kuanzia pointi hadi mabao ya kufunga mbele ya mabingwa, Yanga huku namba na ufanisi uwanjani pia vikiwa mtihani kwa Simba. Yanga imetwaa taji la 30 na la tatu mfululizo msimu…

Read More

DAFTARI LA WAPIGA KURA KUANZA KUBORESHWA JULAI MWAKA HUU

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele akizungumza na waandishi wa habari Mjini Unguja, Zanzibar, leo tarehe 15 Mei, 2024, ambapo ametangaza kuwa uzinduzi wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura utafanyika tarehe 01 Julai, 2024. (Picha na INEC). Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji…

Read More

Serikali yaongeza siku tano za kuomba kazi Polisi

Dodoma. Serikali imeongeza siku tano za kuomba ajira kwenye Jeshi la Polisi ambapo siku yake ya mwisho ilikuwa kesho Mei 16, 2024. Hayo yamesemwa leo bungeni Mei 15, 2024 na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni alipokuwa akitoa ufafanuzi kuhusu taarifa iliyotolewa bungeni na Mbunge wa Makete, Festo Sanga aliyetumia kanuni namba…

Read More

miche 1000 ya matunda ya Parachichi imetolewa bure kwa vijana Kupitia mradi wa BBT Njombe

Kupitia mradi wa BBT unaotarajia kuanza kwa vikundi vya vijana wilayani Njombe,miche 1000 ya matunda ya Parachichi imetolewa bure ili kuanza kuwawezesha vijana kujikwamua kiuchumi kupitia zao hilo. Akizungumza na Ayo TV shambani kwake mkulima maarufu wa zao hilo bwana Stiven Mlimbila alipotembelewa na baadhi viongozi wa mradi huo amesema yuko tayari kutoa mchango huo…

Read More