Lissu, Mnyika wasimulia walivyochezea kipigo

Dar es Salaam. Viongozi wakuu wa Chadema, Tundu Lissu na John Mnyika, wamesimulia namna walivyokumbana na vipigo na kusafirishwa hadi maeneo tofauti kutoka jijini Mbeya kabla ya kufikishwa Dar es Salaam na kuachiwa huru na polisi. Mwingine aliyekumbwa na kadhia hiyo ni Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi, maarufu Sugu, ambaye ndiye aliyekuwa wa…

Read More

RAIS SAMIA AKISHIRIKI MISA YA KUMBUKUMBU YA HAYATI BABA WA TAIFA MWALIMU J. K. NYERERE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali pamoja na waumini wa Kanisa Katoliki kwenye Ibada ya Misa Takatifu ya kumuombea Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyofanyika katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Mtakatifu Fransisko Ksaveri- Nyakahoja Jijini Mwanza tarehe 14 Oktoba, 2024.            

Read More

TANZANIA NA ALGERIA KUKUZA DIPLOMASIA YA UCHUMI

Serikali za Tanzania na Algeria zimekubaliana kukuza diplomasia ya uchumi kwa kutumia fursa muhimu za kiuchumi zinazopatikana katika nchi hizo mbili ili kujenga ustawi wa watu wake. Hayo yamejiri wakati Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) alipokutana kwa mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na…

Read More

Waziri wa Kilimo Atembelea Shamba la Kuzalisha Mbegu za Shayir

WAZIRI wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) ametembelea shamba la kuzalisha mbegu za shayiri la kampuni ya Silverland Ndolela Limited, tarehe 18 Septemba 2024 lililopo mkoani Ruvuma.  Amepitia mashine na Mifumo mbalimbali ya uzalishaji wa mbegu na kujadili namna ya kushirikiana nao, ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi (Public Private Partnership – PPP), katika…

Read More

NBAA na BOT Wasisitiza Uwajibikaji wa Kifedha

Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), kwa kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania (BOT), imeandaa semina ya pamoja uliyowakutanisha wataalamu wa uhasibu, wakaguzi wa hesabu na wadau wa sekta ya fedha kutoka ndani na nje ya nchi. Akifungua rasmi semina hiyo iliofanyika jijini Arusha, Gavana wa BOT, Emmanuel Tutuba, alisisitiza…

Read More

Karibuni katika banda la Wizara ya Afya katika Maonyesho ya Nane Nane 2024 yanayoendelea kufanyika katika Viwanja vya Nane nane hapa Nzunguni Dodoma.

  Katika Banda la Wizara ya Afya huduma mbalimbali zinatolewa kuanzia Elimu ya Afya, Huduma za Uchunguzi wa Magonjwa, Chanjo dhidi ya Homa ya ini, Uviko 19, pamoja na Chanjo dhidi ya Saratani ya Mlango wa Shingo ya Kizazi kwa wanawake Katika dawati letu la elimu na uhamasishaji tuna wataalam wa masuala ya Afya ya…

Read More