Chama la Wana laing’oa Fountain Gate FA

FOUNTAIN Gate imekuwa timu ya nne ya Ligi Kuu Bara kung’olewa katika michuano ya Kombe la Shirikisho (FA), baada ya jioni hii kufungwa kwa penalti 4-3 na Stand United ‘Chama la Wana’ licha ya kucheza kwenye uwanja wa nyumbani wa Tanzanite Kwaraa, uliopo mjini Babati, Manyara. Dakika 90 za pambano hilo liliisha kwa sare ya…

Read More

Sh613 milioni kujenga kituo cha kuhifadhia taarifa Pemba

Unguja. Ili kuimarisha uhifadhi wa taarifa na utendaji wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA), imetia saini mkataba wa ujenzi wa kituo cha kuhifadhia kumbukumbu na Kampuni ya Emerging Communication Ltd (Ecom). Kituo hicho kitajengwa kwa ufadhili wa Mamlaka ya Mapato ya Norway (NTA) ikiwa ni sehemu ya kuijengea uwezo ZRA, huku Sh613.88 milioni zikitarajiwa kugharamia…

Read More

Mganga aliyebaka akidai anafanya tambiko akwaa kisiki mahakamani

Arusha. Usemi wa Kiswahili usemao “Mganga hajigangi” umethitika baada ya mganga wa kienyeji kutoka mkoani Geita, Masoud Adam ambaye alijikuta akikosa pa kujitetea baada ya Mahakama ya Rufani kukataa rufaa aliyoiwasilisha kupinga kifungo cha miaka 30 jela alichohukumiwa kwa kosa la ubakaji. Katika kesi ya msingi iliyosikilizwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Geita, Masoud alishtakiwa…

Read More

RAIS SAMIA AZINDUA JENGO LA TRA MKOA WA SIMIYU

::::::::: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dk. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 16.06.2025 amezindua jengo la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Simiyu na kuwataka Watanzania kujenga utamaduni wa kulipa Kodi kwa hiari ili kuiwezesha Nchi kujitegemea kiuchumi. Rais Samia amesema kujitegemea kiuchumi kunaletwa na Wananchi kupitia Kodi wanazolipa na kuitaka…

Read More