Lindi wajipanga kupunguza vifo vya uzazi, watoto wachanga
Lindi. Mkoa wa Lindi umeweka dhamira ya kuhakikisha vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga vinapungua hadi kufikia tarakimu moja. Kauli hiyo imetolewa leo Jumapili, Agosti 31, 2025 na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Kheri Kagya katika kikao kazi cha siku tatu cha kujadili vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga ngazi ya mkoa,…