Wakati upi sahihi mzazi ‘kuingilia’ ndoa ya mwanawe?

Ndoa, kwa mtazamo wa kitamaduni na kidini, mara nyingi huonekana kama muungano wa watu wawili waliovuka mipaka ya familia walizotoka.Mara mtoto anapooa au kuolewa, inakubalika kuwa rasmi anaingia katika makubaliano yanayomtenganisha na wazazi wake na kumuunganisha na mtu mwingine anayewajibika kwake.Hili linatokana na imani kwamba ndoa ni taasisi huru ambapo wazazi hawapaswi kuingilia maamuzi ya…

Read More

CUF kuanza na rasimu ya Warioba, Katiba Inayopendekezwa

Moshi. Mchakato wa kuandika Katiba mpya unaonekana kuwa moja ya turufu katika uchaguzi mkuu 2025 huku Chama cha Wananchi (CUF), kikiahidi kuanza na rasimu ya Jaji Joseph Warioba na Katiba Inayopendekezwa. Karibu vyama vyote vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi huo utakaofanyika Oktoba 29,2025, vimetoa ilani ya maandishi, suala la kufufua mchakato wa Katiba mpya ni moja…

Read More

NI SAMIA CHEMBA…AAHIDI MAKUBWA SEKTA YA KILIMO,SERIKALI KUNUNUA MATREKTA MILIONI 10 KATIKA MIAKA MITANO IJAYO

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Chemba WAKULIMA sasa ni neema tele kwao! Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Dk.Samia Suluhu Hassan kuahidi kufanya mageuzi makubwa katika sekta hiyo ikiwemo mpango wa kununua matrekta Milioni 10 katika miaka mitano ijayo ili kuwawezesha wakulima kukodisha trekta kwa nusu bei ya ile inayokodishwa…

Read More

Jiji la Arusha kuanzisha Mahakama maalumu ya kodi

Arusha. Halmashauri ya Jiji la Arusha imepanga kuanzisha Mahakama Maalumu ya Jiji, itakayoshughulikia kesi za walipa kodi na ushuru wanaokwepa au kukwamisha ukusanyaji wa mapato, ili kuharakisha uendeshaji wa mashauri na kuongeza ufanisi wa mapato ya ndani. Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo, John Kayombo, amesema hayo jana Jumamosi, Agosti 30, 2025, katika hafla ya kuwapongeza…

Read More

Kina Mayele wamtibulia aliyeikacha Yanga

USHINDI wa mabao 2-0 iliyoupata Pyramids dhidi ya Al Ahly, umetibua mambo katika klabu hiyo mabingwa wa kihistoria wa Ligi ya Mabingwa Afrika na sasa moto unawaka huku anayesakwa ni aliyeikataa Yanga. Ni hivi. Kocha wa Al Ahly, Jose Riveiro amekalia kuti kavu ligi kuu ya Misri, akihesabu siku baada ya kuanza vibaya akiwa na…

Read More

Dk Nchimbi aahidi neema Tarime, makundi ya ubunge yavunjwa

Tarime.  Wakati mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi akiwaahidi mambo mbalimbali wananchi wa Nyamongo, Wilaya ya Tarime, viongozi wa chama hicho wamevunja makundi yaliyotokana na ubunge wa Tarime Vijijini. Dk Nchimbi amesema Serikali ya CCM Itatekeleza ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami katika vipande vinne na kupanua zaidi…

Read More