Gazans wanakabiliwa na mustakabali wa maumivu na prosthetics – maswala ya ulimwengu

Katika Hospitali ya Al-Shifa huko Gaza City, mtoto mdogo, Maryam Abu Alba, analia kwa uchungu. “Nyumba ya jirani ililipuliwa, na nyumba yao ilipigwa,” anasema bibi yake. “Moja ya miguu yake ilibidi ikatwe, na sahani za chuma zilibidi ziingizwe ndani ya ile nyingine, ambayo ilivunjika. Ana maumivu makali.” Hakuna mahali pa kukimbia Katika hospitali hiyo hiyo,…

Read More

Uchunguzi wabaini haya Hospitali ya Rufaa Mawenzi

Moshi. Serikali imesema uchunguzi wa awali uliofanywa kuhusu Hospitali ya Rufaa ya mkoa, Mawenzi kutoa huduma isiyoridhisha kwa wagonjwa umebaini changamoto kadhaa ikiwemo baadhi ya watumishi kutoroka kazini saa wa kazi na kusababisha ucheleweshwaji wa utoaji wa  huduma. Hatua hiyo imekuja baada ya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, kueleza kusikitishwa na namna hospitali…

Read More

Polisi wamshikilia mke anayedaiwa kumchoma kisu mumewe

Iringa. Mkulima Philimo Lalika (49) inadaiwa ameuawa kwa kuchomwa kisu tumboni na mke wake, Elizabeth Kihombo (46), katika kile kilichoelezwa kuwa ni ugomvi uliotokana na wivu wa mapenzi.  ‎Tukio hilo limelotokea Agosti 20, 2025 katika Kijiji cha Ihefu, Kata ya Mdabulo, Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa. ‎Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Agosti 21, 2025…

Read More

‘TLP haitakufa’, mrithi wa Mrema atangaza kutiania jimbo la Vunjo

Moshi. Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Richard Lyimo amesema chama hicho hakitakufa licha ya kifo cha aliyekuwa kiongozi wake, marehemu Augustino Mrema, badala yake kitaendelea kuimarika kisiasa. Akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika leo Alhamisi Agosti 21, 2025, katika eneo la Njiapanda ya Himo wilayani Moshi, mkoani Kilimanjaro, Lyimo amesema TLP bado kina…

Read More