WAZIRI JAFO AKITETA BUNGENI NA NAIBU WAZIRI MKUU

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni jijini Dodoma leo tarehe 03 Juni, 2024. Leo Mhe. Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa Maonesho ya…

Read More

LHRC yatia neno sakata la wananchi, polisi Simiyu

Dar es Salaam. Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa wito wa kufanyika uchunguzi wa haraka na wazi kuhusu matukio yaliyotokea, Wilaya ya Busega mkoani Simiyu kikidai uwajibikaji kutoka kwa waliohusika. Kituo hicho pia kimehimiza vyombo vya usalama kuheshimu haki za binadamu na kurejesha imani ndani ya jamii, ambayo imeporomoka kutokana na matukio…

Read More

Mjumbe wa Umoja wa Mataifa aangazia ghasia za kutisha na janga la kibinadamu lililopuuzwa nchini DR Congo – Masuala ya Ulimwenguni

Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu, Bintou Keita, aliwafahamisha Baraza la Usalama ya shambulio dhidi ya makazi ya mwanasiasa wa Kongo, ambapo maafisa wawili wa polisi waliuawa. Upanuzi wa haraka wa M23 Bi. Keita, ambaye pia anaongoza ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo (MONUSCO), alionyesha wasiwasi mkubwa juu ya ukuaji wa haraka…

Read More

Bakwata yafunguka matukio ya utekaji, Serikali yafafanua

Geita/Dar. Wakati Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) na wadau wengine wakisisitiza uchunguzi huru dhidi ya matukio ya utekaji na mauaji, Serikali imesema kwanza jamii inapaswa kujiuliza kwanini matukio hayo yanatokea kila unapokaribia uchaguzi. Katika hoja yake hiyo, Serikali imesema ni rahisi kutupa lawama kwa Jeshi la Polisi juu ya matukio hayo, huku ikieleza badala…

Read More

Polisi yawashikilia watatu akiwemo mtoto anayedaiwa kuiba watoto sita

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi linawashikilia watu wawili waliosikika wakimhoji mtoto aliyejitambulisha kwa jina la Evaristo katika moja ya picha jongefu zilizosambaa katika mitandao ya kijamii. Pia, jeshi hilo limesema linamshikilia mtoto huyo na kuendelea na uchunguzi wa maelezo yaliyozungumzwa naye katika kipande hicho cha video akijinasibu kwa wizi wa watoto. Katika kipande hicho…

Read More

Majaliwa ataka wateule wa Rais kusimamia haki

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  amewataka wakuu wa mikoa kuyasimamia na kutekeleza mapendekezo yaliyotolewa na Tume ya Haki Jinai. Aidha,  amesisitiza kwamba ni lazima viongozi na watendaji wa Serikali wawe na uelewa wa kutosha ili waweze kuyasimamia na kuyatekeleza mapendekezo hayo. Waziri Mkuu amebainisha hayo leo Mei 6, 2024 wakati akifungua warsha ya…

Read More