Mgunda aanza na sare Simba

KAIMU Kocha Mkuu wa Simba SC, Juma Mgunda, ameanza majukumu yake ndani ya kikosi hicho kwa kuambulia sare katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC. Mchezo huo uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Majaliwa uliopo Ruangwa mkoani Lindi, umemalizika kwa sare ya mabao 2-2 ikiwa ni sare ya tatu mfululizo kwa timu hizo…

Read More

Hospitali Amana yadhamiria kuokoa maisha ya watoto njiti

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Amana imeanza kampeni ya kutafuta Sh bilioni 3 kwa lengo la kuboresha miundombinu na kununua vifaa tiba kuwaokoa watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (njiti). Hospitali hiyo inahudumia watoto wengi wanaozaliwa kabla ya wakati ambapo ina vitanda vidogo 80 na vitano tu vinavyomuwezesha mama kulala…

Read More

CCM Iringa walivyompokea Asas | Mwananchi

Iringa. Mfanyabiashara na kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Salim Faraj Abri (Asas) apokewa rasmi na uongozi wa chama Mkoa wa Iringa kufuatia kuteuliwa kwake kuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa. Asasi amepokewa leo Juni 2, 2025 akitokea Dodoma alikokwenda kuhudhuria mkutano mkuu baada ya kuteuliwa kuwa mjumbe wa kamati…

Read More

Kuongezeka kwa ukosefu wa usalama katika Mashariki inazuia maendeleo ya kidiplomasia, Baraza la Usalama linasikia – maswala ya ulimwengu

Licha ya maendeleo ya kidiplomasia katika miezi ya hivi karibuni, na Merika ikifanya makubaliano ya amani kati ya DRC na Rwanda, na Qatar kuwezesha tamko la kanuni kati ya serikali ya Kongo na waasi wa M23, mvutano unabaki juu katika DRC ya Mashariki – ambapo vikundi vingi vya silaha vinafanya kazi. Baraza la Usalama pia…

Read More

Dk Nchimbi atuma salamu kwa wabadhilifu CCM

Dodoma. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ametuma ujumbe kwa wanachama wasio waadilifu ndani ya chama hicho, akisema wanaendelea kuwaandaa watu waadilifu kama Mwekahazina wa CCM, Dk Frank Hawassi. Dk Nchimbi ameyasema hayo leo, Jumamosi Machi 22, 2023 kwenye ibada ya kumuaga mke wa Dk Hawassi, marehemu Damaris Hawassi, iliyofanyika katika…

Read More