WAFUNGWA NA MAHABUSU KUSIKILIZA KESI KWA MAHAKAMA MTANDAO

:::::::: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amesema kuwa Jeshi la Magereza kwa kushirikiana na Mahakama ya Tanzania litaendelea kuwawezesha Wafungwa na Mahabusu kusikiliza mashauri yao wakiwa magerezani kupitia Mahakama Mtandao, hasa kunapokuwepo na viashiria vya matishio ya kiusalama, ili kudumisha amani na kulinda usalama wa raia na mali zao. Ameeleza kuwa…

Read More

Samia kufanyia kazi ombi la Nzega kuwa mkoa mpya

Nzega. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanznia kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuyafanyia kazi maombi yaliyowasilishwa kwake na mgombea ubunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe, ikiwemo kuanzisha mkoa mpya wa Nzega. Samia ametoa ahadi hiyo leo, Septemba 10, 2025, wakati wa mkutano wake wa kampeni katika Jimbo la Nzega…

Read More

Vikundi saba vyawezeshwa kilimo cha mwani

Unguja. Ili kupata mwani bora, wakulima Zanzibar wamepewa mashine za kusagia na kukaushia zao hilo, hatua inayotajwa itaongeza uzalishaji, hususani kipindi cha mvua. Vikundi saba vya ukulima wa mwani vya Unguja vimekabidhiwa kamba 120 na taitai 80 kwa kila kikundi. Pia kumetolewa kaushio la mwani moja na mashine ya kusagia yenye uwezo wa kusaga kilo…

Read More

Fainali FA kwa Ouma, Hamdi ni zaidi ya mechi

KOCHA wa Yanga, Miloud Hamdi na David Ouma wa Singida Black Stars, kila mmoja anaitazama fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kuwa ni zaidi ya mechi. Hiyo inatokana na yeyote atakayeshinda, ataweka rekodi katika maisha ya ufundishaji ambapo Hamdi anakutana na Singida,  timu iliyomtambulisha Desemba 2024 kuwa kocha wa timu hiyo, kisha akaibukia Yanga Februari…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Mkenya kwenye rada za Yanga

YANGA imeanza mazungumzo na kiungo mshambuliaji Mkenya, Duke Abuya baada ya mkataba wake na Singida Black Stars kuisha. Nyota huyo aliyejiunga na Singida akitokea timu ya Kenya Police, inaelezwa huenda akatua Jangwani ili kupata changamoto mpya huku Yanga ikiingilia kati dili baada ya awali Coastal Union ‘Wagosi wa Kaya’ kumhitaji pia. UONGOZI wa Yanga huenda…

Read More

Tuimarishe Lishe, Tupunguze Magonjwa Sugu

…………… NA. MWANDISHI WETU – DAR ES SALAAM KATIBU Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi amewataka wadau kushirikiana na Serikali katika kuimarisha hali ya lishe nchini ili kupunguza kasi ya kuenea kwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza. Amesema ulaji usio faa na mitindo mibaya ya maisha vimechangia kuongezeka kwa magonjwa…

Read More