Kuna mkwamo kwenye mazungumzo ya usitishaji vita Gaza – DW – 14.05.2024

Akizungumza kwenye mkutano wa Kiuchumi huko Doha Qatar leo, mwanadiplomasia huyo mkuu wa Qatar, Mohammed bin Abdulrahman amesema kumekuwa na “tofauti ya kimsingi” kati ya pande mbili husika kwenye machafuko hayo. Ameeleza kuwa upande mmoja unataka kumaliza vita kabla ya kuwaachilia mateka wote waliobaki, ilhali upande mwingine unataka mateka waachiliwe huru huku vita vikiendelea. Kulingana…

Read More

Gamondi apiga marufuku shamrashamra kambini

KOCHA wa Yanga, Miguel Gamondi amecharuka na kupiga marufuku shamshamra za ubingwa huku akitoa masharti mapya ya kufuatwa ili kufikia malengo ya klabu. Gamondi amewasisitiza mastaa na viongozi wasahau kabisa kwamba wameshatwaa taji hilo la tatu mfululizo kwani wakizembea kidogo wanatoka kwenye mstari na watatoa faida kwa wengine. Yanga ilibeba ubingwa baada ya kuifunga Mtibwa…

Read More

TUTAWACHUKULIA HATUA WATUMISHI WANAOKIUKA SHERIA UKUSANYAJI MAPATO’ MCHENGERWA

OR-TAMISEMI Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema serikali haitavumilia ukiukwaji sheria na hatua kali zitachukuliwa kwa watumishi watakaobainika kukiuka sheria kwenye ukusanyaji mapato ya serikali. Mhe.Mchengerwa ameyasema hayo bungeni leo alipokuwa akitoa ufafanuzi wa malalamiko yaliyotolewa bungeni wiki iliyopita na Mbunge wa Msalala…

Read More

NBC yaitambulisha rasmi ‘NBC Connect’ Zanzibar

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetambulisha rasmi huduma yake ya kidigitali ya ‘NBC Connect’ Visiwani Zanzibar. Huduma hiyo ya kisasa mahususi kwa makampuni pamoja na taasisi mbalimbali huwezesha huduma salama na haraka za kibenki kwa njia ya mtandao ikiwa ni muitikio wa benki hiyo katika kuunga mkono jitihada za serikali za kuongeza ujumuifu katika…

Read More

Uzembe watajwa chanzo cha ajali iliyoua saba Morogoro

Morogoro. Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani hapa, Alex Mkama amesema chanzo cha ajali iliyoua watu saba mkoani hapa ni  uzembe wa dereva wa lori aliyetaka kuyapita magari yaliyokuwa mbele yake bila kuchukua tahadhari.  Ajali hiyo imetokea leo Jumanne Mei 14, 2024 asubuhi Dakawa Wilaya ya Mvomero ikihusisha lori na gari ndogo aina ya Toyota…

Read More

Wizara yaombwa kuchunguza ubora wa maabara za udongo

Geita. Wizara ya Madini imeombwa kuchunguza ubora wa maabara za sampuli za udongo unaosadikiwa kuwa na dhahabu kutokana na baadhi  kutoa majibu yasiyoendana na uhalisia, hivyo kuwasababishia wachimbaji hasara ya mamilioni ya fedha.  Pia, imeombwa kuwafungia watu wanaojitambulisha kuwa ni wajiolojia na kupewa maeneo ya kutafiti kisha kutoa majibu ya uongo huku wakijipatia fedha kwa…

Read More

Benki ya NBC Yaitambulisha Rasmi ‘NBC Connect’ Zanzibar

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetambulisha rasmi huduma yake ya kidigitali ya ‘NBC Connect’ Visiwani Zanzibar. Huduma hiyo ya kisasa mahususi kwa makampuni pamoja na taasisi mbalimbali huwezesha huduma salama na haraka za kibenki kwa njia ya mtandao ikiwa ni muitikio wa benki hiyo katika kuunga mkono jitihada za serikali za kuongeza ujumuifu katika…

Read More

WAZIRI MKUU AKUTANA NA MKURUGENZI MKAZI WA UNICEF

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Mei 14, 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto(UNICEF) Elke Wisch, Ofisini kwa Waziri Mkuu Bungeni Jijini Dodoma. Katika mazungumzo yao Mheshimiwa Waziri Mkuu amemuahidi Bi. Wisch kuwa Serikali ya Tanzania itaendelea kulipa ushirikiano Shirika hilo ili liweze kutekeleza majukumu…

Read More