Hivi ndivyo bima ya afya kwa wote itakavyokuwa

Dar es Salaam. Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umetoa ufafanuzi kuhusu mwelekeo wa mpango wa bima ya afya kwa wote, ukibainisha kuwa gharama kwa kaya moja yenye watu sita itakuwa Sh150,000 kwa mwaka, sawa na Sh25,000 kwa kila mwanakaya. Kifurushi hicho chenye jumla ya huduma 277, kitamuwezesha kiongozi wa kaya kulipa kwa…

Read More

CPA MAKALA ATAKA UJENZI JENGO LA GHOROFA SITA HOSPITALI YA MBAGALA KUKAMILIKA KWA WAKATI, AKUMBUSHA MWAKANI WANA JAMBO

Na Mwandishi Wetu KATIBU wa Itikadi,Uenezi na Mafunzo CPA Amoss Makala ametoa maelekezo kwa mkandarasi anayejenga jengo la ghorofa sita la Hospitali ya Mbagala mkoani Dar es Salaam kuhakikisha ifikapo Juni mwaka 2024 liwe limekamilika na kuanza kutoa huduma. CPA Makala ametoa maelekezo hayo baada ya kufanya ziara ya kutembelea na kukagua ujenzi wa Hospitali…

Read More

Ujerumani inaweza kukabiliwa na uchaguzi wa mapema – DW – 04.11.2024

Waziri wa Fedha wa Ujerumani Christian Lindner ameibua mvutano mpya ambao wachambuzi wanakubaliana kwamba unaiweka serikali ya Ujerumani ya mrengo wa kushoto-kati katika hatari ya kuporomoka. Lindner ambaye ni mwenyekiti wa chama cha kiliberali Free Democrats (FDP) ameandika kurasa 18 za mapendekezo ya kile anachokiita “mabadiliko ya kiuchumi na marekebisho ya kimsingi ya maamuzi muhimu…

Read More

UNHCR inasisitiza shida ya wakimbizi wa Rohingya huku kukiwa na ripoti za kutisha – maswala ya ulimwengu

Kulingana na ripoti, mashua moja iliyobeba watu 267 kutoka kwa Cox’s Bazar huko Bangladesh na Jimbo la Rakhine huko Myanmar, ilizama mnamo 9 Mei, na waathirika 66 tu, UNHCR Alisema. Siku iliyofuata, mashua ya pili ikikimbia na watu 247 walishikwa, na kuacha waathirika 21 tu. Katika tukio tofauti, ripoti zinaonyesha kuwa mnamo Mei 14, chombo…

Read More

Matumizi ya AI kwenye matibabu yawaibua wataalamu wa afya

Dar es Salaam. Matumizi chanya ya teknolojia ya Akili Unde (AI) katika utambuzi wa magonjwa na urahisishaji wa matibabu yameelezwa kuwa miongoni mwa afua muhimu zinazoweza kubadilisha taswira ya sekta ya afya barani Afrika. Kauli hiyo imetolewa na wataalamu wa afya waliohudhuria ufunguzi wa Maonesho ya 26 ya Africa 2025 MEDEXPO, yanayofanyika kuanzia leo, Septemba…

Read More

BILIONI 15 KUSAMBAZA UMEME VITONGOJINI PWANI

-VITONGOJI 135 NDANI YA MAJIMBO 9 KUNUFAIKA-RC PWANI AMSHUKURU RAIS SAMIA Na Mohamed Saif Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa Shilingi Bilioni 15 kutekeleza Mradi wa Kusambaza umeme kwenye vitongoji 135 Mkoani humo. Ametoa shukran hizo leo Septemba 25,…

Read More

Miloud Hamdi aanzia jeshini | Mwanaspoti

MASHABIKI wa Yanga wanataka kuona mavitu ya kocha mpya wa timu hiyo, Miloud Hamdi wakati atakapokiongoza kikosi hicho katika mchezo wa leo wa Ligi Kuu dhidi ya JKT Tanzania, utakaopigwa saa 10:15 jioni Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Kocha huyo aliyetua nchini kwa mara ya kwanza Desemba 30, mwaka jana kuinoa Singida Black Stars, alitambulishwa…

Read More

Profesa Janabi ashinda kwa kishindo WHO

Mwakilishi wa Tanzania katika nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Profesa Mohammed Janabi ameshinda kwa kishindo nafasi hiyo. Profesa Janabi ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, ametetea nafasi hiyo ambayo ilikuwa ikishikiliwa na Tanzania kabla ya kifo cha Dk Faustine Ndugulile. Kwa taarifa zaidi endelea…

Read More

Mwandishi wa habari aamriwa kumlipa DED Sh2 bilioni

Mwanza. Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza imemwamuru mwandishi wa habari na mtangazaji, Alloyce Nyanda ‘Mtozi’ kumlipa aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza, Aaron Kagurumjuli Sh2 bilioni kama fidia kwa kumdhalilisha kwa njia ya mtandao. Hukumu hiyo imesomwa leo Ijumaa Aprili 11, 2025, saa tatu asubuhi na Hakimu Mkazi Mwandamizi wa mahakama hiyo, Boniventure Lema. Wakati…

Read More